Inategemea malengo yako. kama una aspiration ya kuwa MD, nenda clinical medicine. Short of that nenda ukakoroge mavi! si unajua kuwa stool preparations for analysis lazima ukoroge mavi!😁😁😁😁😁 usijali utani kidogo tu. I have my kid in the same kozi!Wakuu plz naomba ushauri ni kozi gan ipo poa kati ya dipoma in medical laboratory sciences na diploma in clinical medicine?
PLZ msaada hapo?
Barikiwa sana ndgu.Inategemea malengo yako. kama una aspiration ya kuwa MD, nenda clinical medicine. Short of that nenda ukakoroge mavi! si unajua kuwa stool preparations for analysis lazima ukoroge mavi!😁😁😁😁😁 usijali utani kidogo tu. I have my kid in the same kozi!
Daah umeeleweka kk....thnk yu ver much😅😅😅😅😅Kama unataka kupiga pesa kasome laboratory science. Kama unataka uwe md basi CO inakufaa
Kama unataka kupiga pesa kasome laboratory science. Kama unataka uwe md basi CO inakufaa
Hujakamilisha maelezo.. iko poa kwenye nyanja ipi?? maana kila moja hapo iko poa kwa namna yakeWakuu plz naomba ushauri ni kozi gan ipo poa kati ya dipoma in medical laboratory sciences na diploma in clinical medicine?
PLZ msaada hapo?