Habarini..
HABARINI,
Naomba kuuliza wanasheria na maafisa utumishi ,je mfanyakazi akileta malalamiko ya kesi kua inatakiwa ufike ofisi za mediation wewe kama employer ni lazima kuijibu barua ya malalamiko(summacy) kabla ya muda wa mediation haujafika? ,na je ni lazima kwenda na mwanasheria,msaada please
HABARINI,
Naomba kuuliza wanasheria na maafisa utumishi ,je mfanyakazi akileta malalamiko ya kesi kua inatakiwa ufike ofisi za mediation wewe kama employer ni lazima kuijibu barua ya malalamiko(summacy) kabla ya muda wa mediation haujafika? ,na je ni lazima kwenda na mwanasheria,msaada please