PostGE2025 Media za Tanzania mlipewa hongo mkawapuuza wananchi?

PostGE2025 Media za Tanzania mlipewa hongo mkawapuuza wananchi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Media za Tanzania hawakutimiza wajibu wao kuripoti matukio yanayohusiana na uchaguzi na Vurugu zacha

  • Waliripoti matukio yanayohusiana na uchaguzi na Vurugu

    Votes: 0 0.0%
  • Hawakuripoti vurugu wala vifo vya waandamanaji

    Votes: 1 50.0%
  • Walizibwa midomo hivyo wakakosa namna ya kuripoti

    Votes: 1 50.0%

  • Total voters
    2
kupata habari kamili za kina ,za kiuchambuzi na za kuaminika inaenda kuwa ngumu mana media nyingi hususani redio na televisheni pamoja na magazeti.. si tu za bongo ni karibu zote duniani.. zimekuwa zikitumika kisiasa na watawala.

njia pekee kupata habari.. walau za kina kidogo ni kupitia social media.
...
Umesema ukweli...
 
..yaani ,Star tv nao wameacha kurusha BBC Swahili - Dira ya Dunia saa 3:00 Usiku...UJINGA
Hao star tv anasubiri mpaka hizo habari na mahojiano ya waathirika wa vifo vitakapo isha BBC ndo wairudishe hewani. Tanzania hakuna uhuru wa habari, unakuwepo kwenye habari zisizo na maana. Dunia ya sasa ni ya kuficha taarifa kweli? Hata watu wa Trinidad & Tobago habari zetu wanazo..
 
Hao star tv anasubiri mpaka hizo habari na mahojiano ya waathirika wa vifo vitakapo isha BBC ndo wairudishe hewani. Tanzania hakuna uhuru wa habari, unakuwepo kwenye habari zisizo na maana. Dunia ya sasa ni ya kuficha taarifa kweli? Hata watu wa Trinidad & Tobago habari zetu wanazo..
Wanafungia fungia vyombo vyote hapa katikati wakati wa lock down kuna mtangazaji mmoja wa EATV alitaka kueleza taarifa za hali ya maandamano ya mwanza nini kimetokea nini kimefanyika, wakamkatisha fasta sana asiendelee kuelezea alichokiona kule maana alianza kufunguka kila kitu alichokiona yaan wanatangaza kwa uoga uoga wanaogopa kufungiwa na kupigwa rungu na mamlaka ile ya mawasiliano
 
Wanafungia fungia vyombo vyote hapa kati kuna mtangazaji wa EATV alitaka kueleza taarifa za hali ya maandamano ya mwanza nini kimetokea nini kimefanyika, wakamkatisha fasta asiendelee kuelezea alichokiona kule maana alianza kufunguka kila kitu alichokiona yaan wanatangaza kwa uoga uoga wanaogopa kufungiwa na kupigwa rungu na mamlaka ile ya mawasiliano
Du!! Ila pembe la n'gombe halifichiki, vyombo vyetu vya habari havijaonesha, kuandika wala kuripoti lakini kila mtanzani anajua kwa kuona, kusikia na kusimuliwa na dunia pia inajua.
 
Du!! Ila pembe la n'gombe halifichiki, vyombo vyetu vya habari havijaonesha, kuandika wala kuripoti lakini kila mtanzani anajua kwa kuona, kusikia na kusimuliwa na dunia pia inajua.
Hata ingekua 1890 huko dunia ingejua nini kimetokea, hii ni 2025 kitu kinafanyika hapa asubuhi dunia nzima inaona kila kitu km ipo hapa tulipo
 
Inasikitisha media zote kuanzia Television stations, magazeti na online TV msiripoti Hata kifo kimoja kwa vurugu za uchaguzi?

Al Jazeera wanatangaza watu zaidi ya 10,000 wameuliwa ila bongo kimyaa!. Hakika hii dhambi mtailipa. Pesa zitakwisha, Watanzania watabaki washindi
Hasa MILLARD AYO, Mpumbavu sana.
 
Inasikitisha media zote kuanzia Television stations, magazeti na online TV msiripoti Hata kifo kimoja kwa vurugu za uchaguzi?

Al Jazeera wanatangaza watu zaidi ya 10,000 wameuliwa ila bongo kimyaa!. Hakika hii dhambi mtailipa. Pesa zitakwisha, Watanzania watabaki washindi

Eti wanadubiti hesabu raski ya serikali...!!

INEC waliweza kuhesabu watu million 32 kwa siku 2. Wao wanashindwa nini kwa week mbili zote? Wawape hiyo kazi INEC.
 
Back
Top Bottom