Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,467
- 9,007
Huwa sielewi kuna nini kwenye music industry ya Bongo as regards to Hip-Hop. Kwanini media inawabania sana promo maemcee wanaofanya hip hop ya ukweli???!! mfano.. jamii kubwa inafahamu zaidi uwepo wa NEY WA MITEGO (ambae anajiita mwanahip-hop) kuliko uwepo wa BONTA (ambae kwa mtazamo wangu ni mwanahip hop wa ukweli). Mfano..
jamii inafahamu zaidi uwepo wa CHID BENZ (ambae anajiita mwanahip hop) kuliko uwepo wa SALU-T (ambae kwa mtazamo wangu ni mwanahip hop wa ukweli). Kuna wasanii wanafanya conscious hip hop lakini bado kabisa media haiwapi support au kuwaweka katika nafasi wanayostahili kuwepo. Mfano sikiliza kazi za Bonta, jamaa anafanya hip hop ya ukweli sana lakini bado legacy yake kwenye jamii ipo too low!!!!
JE kuna vitu fyongo vinafanyika kwenye music industry (hasa Media) kuhusu hip hop emcees' legacy? au jamii yenyewe ndo bado haitoi mwitikio chanya towards real emcees wa hip hop?
Kwa mtazamo wangu... nadhani Lack of media promo, pamoja na mambo mengine, imesababisha kwa kiasi kikubwa sana wakongwe real emcees wengi wa hip hip aidha kupunguza kasi au ku-quit game mazima. Mfano... ZAVARA, HASHIM DOGO 'Mwanaharamu', SALU-T, n.k. magwiji hawa leo hii hip-hop community inamiss sana kazi zao.
Karibuni wadau kwa michango yenu katika hili.
jamii inafahamu zaidi uwepo wa CHID BENZ (ambae anajiita mwanahip hop) kuliko uwepo wa SALU-T (ambae kwa mtazamo wangu ni mwanahip hop wa ukweli). Kuna wasanii wanafanya conscious hip hop lakini bado kabisa media haiwapi support au kuwaweka katika nafasi wanayostahili kuwepo. Mfano sikiliza kazi za Bonta, jamaa anafanya hip hop ya ukweli sana lakini bado legacy yake kwenye jamii ipo too low!!!!
JE kuna vitu fyongo vinafanyika kwenye music industry (hasa Media) kuhusu hip hop emcees' legacy? au jamii yenyewe ndo bado haitoi mwitikio chanya towards real emcees wa hip hop?
Kwa mtazamo wangu... nadhani Lack of media promo, pamoja na mambo mengine, imesababisha kwa kiasi kikubwa sana wakongwe real emcees wengi wa hip hip aidha kupunguza kasi au ku-quit game mazima. Mfano... ZAVARA, HASHIM DOGO 'Mwanaharamu', SALU-T, n.k. magwiji hawa leo hii hip-hop community inamiss sana kazi zao.
Karibuni wadau kwa michango yenu katika hili.