Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Ndiyo nia yao mkuu.Zaidi sana kuhadaa kuwa serikali haina jukumu katika ugonjwa huu.
Ndiyo nia yao mkuu.Zaidi sana kuhadaa kuwa serikali haina jukumu katika ugonjwa huu.
Wapi alisema hakuna ugonjwa?
Halafu akisema upo au haupo ndio inaondoa ukweli na uhalisia wa huo ugonjwa? Huko kwenye matangazo daily ndio ugonjwa umeisha kwa matangazo ya Rais?
Chuki ZINGINE zihamishie shambani
Well said mkuu,Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Palikuwa na huu uzi:Ndiyo nia yao mkuu.
Kwani kupeana taarifa za vifo ni kufurahia vifo?Well said mkuu,
Yaani wamekuwa kama chama cha wachawi.Tunatakiwa tufurahie maisha na sio vifo!
Mzidi kuchukua tahadhari sasaVifo vimekuwa vingi, hata watoto wadogo wanakufa.
Hali ni mbaya. Japo huko juu wanakaa kimya ila hali haiko sawa.
Tumeanza kuwa na hofu sasa.
Mwambieni Mheshimiwa aseme kitu, atutie hata moyo wapiga kura wake, au yeye anaona ni sawa tu, sasa tukifa wote kwani yeye atapona ? Pia apunguze ukali, siyo kila kitu kutufokea, hata akiongea tunaelewa tu.
MAMBO MENGINE NI KUJIONGEZA TU.Vifo vimekuwa vingi, hata watoto wadogo wanakufa.....
Hakuna utukufu wowote mbele za Mungu kwenye pre matured deaths.Kifo halali mbele za Mungu ni kufa kwa uzee period!Kwani kupeana taarifa za vifo ni kufurahia vifo?
Kipindi cha matangazo ya vifo ni kipindi cha kufurahia vifo?...
Hakuna utukufu wowote mbele za Mungu kwenye pre matured deaths.Kifo halali mbele za Mungu ni kufa kwa uzee period!
Hapo kosa liko wapi kutuhabarisha?Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Ninachokiona yaani mwaka huu Jan 2021 hadi sasa Ndugu zetu wenye asili ya kiarabu wamefariki wengi sana na karibia wote chanzo cha vifo vyao vinafanana wanaugua ghafla kwa dalili zilezile na wanafariki ninajiuliza kulikoni?Salaam
Kwa majonzi makubwa, nimesikitika kupokea kifo cha Mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya Ngara Oil.
Ameugua kwa Muda mfupi, leo kakodi ndege kwenda Dar kwa Matibabu zaidi, kifo kikamkuta huko.
Mbele yetu nyuma yake.
Bob Marley neno la Mwisho alomwachia mwanaye ni kwamba hela haiwezi kununua Uhai. Money can not buy a life.
Pumzika kwa amani Kamanda.
Vifo vinagusa sana jamii yetu. Omba sana usipate msiba kwako.
View attachment 1694721
Usikichukie kioo kwa kukuonesha dosari ya sura yakoWanaona raha sana kutangaza misiba. Hawana akili hawa wajinga
Unanikumbusha ile story kifo katika mji fulani kiliona kina appointment na jamaa aliyekuwa mji wa mbali sana, na kikashangaa itakuwaje kiwe na appointment na jamaa yuko mbali vile na hakina mpango wa kwenda mji alioko? Kumbe kuna kitu kingemfanya jamaa akimbie kuokoa maisha yake na kwenda kwenye mji kifo kilikuwapo!Alikodi ndege kakimbilia Dar, kumbe nacho kilikua kimepanda ndege hiyo hiyo.
Bora hata umepigwa ban, ningetamani kama ingelikuwa ni life banMnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Umesoma novel za Jeffrey Archer.Unanikumbusha ile story kifo katika mji fulani kiliona kina appointment na jamaa aliyekuwa mji wa mbali sana, na kikashangaa itakuwaje kiwe na appointment na jamaa yuko mbali vile na hakina mpango wa kwenda mji alioko? Kumbe kuna kitu kingemfanya jamaa akimbie kuokoa maisha yake na kwenda kwenye mji kifo kilikuwapo!
Wabongo kweu ni misiba, vifo na kuzika, tuko tayari kukacha kazi sababu ya haya mambo, na ndiyo maana foreigners wanapendwa na wawekezaji zaidi kuliko sisi na mauvivu yetu, kisa kupenda mpunga na kuzogoa...Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
LAKINI MTOA TAARIFA ALITAKIWA KUELEZA NGARA OIL IKO WAPI NA MMILIKI ALIKUWA ANAISHI WAPIMwenzako akinyolewa, chako tia maji.
Wanabore kinoma Kama vile wanashangilia mtu kufaMnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.
Acheni kufurahia vifo vya wenzenu