dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Salaam
Kwa majonzi makubwa, nimesikitika kupokea kifo cha Mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya Ngara Oil.
Ameugua kwa Muda mfupi, leo kakodi ndege kwenda Dar kwa Matibabu zaidi, kifo kikamkuta huko.
Mbele yetu nyuma yake.
Bob Marley neno la Mwisho alomwachia mwanaye ni kwamba hela haiwezi kununua Uhai. Money can not buy a life.
Pumzika kwa amani Kamanda.
Vifo vinagusa sana jamii yetu. Omba sana usipate msiba kwako.
Kwa majonzi makubwa, nimesikitika kupokea kifo cha Mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya Ngara Oil.
Ameugua kwa Muda mfupi, leo kakodi ndege kwenda Dar kwa Matibabu zaidi, kifo kikamkuta huko.
Mbele yetu nyuma yake.
Bob Marley neno la Mwisho alomwachia mwanaye ni kwamba hela haiwezi kununua Uhai. Money can not buy a life.
Pumzika kwa amani Kamanda.
Vifo vinagusa sana jamii yetu. Omba sana usipate msiba kwako.