troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,430
- 2,264
Kalemani akiwa Waziri wa Nishati kapambana sana chini ya hayati Magufuli kukomesha mgao wa umeme ,kadhalika kusambaza umeme vijijini kwa bei nafuu kabisa.
Usimamizi mzuri wa JNHP huko rufiji.
Baada ya Samia kukamata hatamu tumeshuhudia nguvu ya matajiri kupanga safu maeneo nyeti ya raslimali za nchi, baadhi ya mawaziri kudharauliwa wakiandaliwa ajali za kisiasa mbalimbali.
Hakika muda mchache ,ukiona mwenzako ananyolewa tia maji nywele zako.
Usimamizi mzuri wa JNHP huko rufiji.
Baada ya Samia kukamata hatamu tumeshuhudia nguvu ya matajiri kupanga safu maeneo nyeti ya raslimali za nchi, baadhi ya mawaziri kudharauliwa wakiandaliwa ajali za kisiasa mbalimbali.
Hakika muda mchache ,ukiona mwenzako ananyolewa tia maji nywele zako.