Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
- Thread starter
- #21
sawa ukiazi kwa jinsi unavyowaza wewe mkuu,Yanga iniweke roho juu kivipi,point 2 tu wakati tulichukua ubingwa msimu uliopita na mko mbele point kama 10Katika siku ambayo jamaa kaonesha ukiazi ni leo. Jamaa katoa boko na hiyo ni hali ya kawaida sana kutokea kama moyo umejawa na chuki maana kazi kutafuta sababu tu. Dabil Yanga msimu huu wamekufanya uwe na gubu