Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,037
- 71,271
Mama alitaka apige kwa Mwinyi nakitab chake....alafu aje apige na Simba Vs YaUtashangaa mama anataka kuhudhuria maana hii nchi siasa kila sehemu
Mama alitaka apige kwa Mwinyi nakitab chake....alafu aje apige na Simba Vs YaUtashangaa mama anataka kuhudhuria maana hii nchi siasa kila sehemu
View attachment 1777436
TFFwhy mnatuchelewesha kuchinja hawa utopolo
Sijui asee kama Yanga wakishikilia msimamo wao wakuondoa team itakuwa hamna mechi.Mechi ipo kweli?
Yanga waogaSijui asee kama Yanga wakishikilia msimamo wao wakuondoa team itakuwa hamna mechi.
Ukipata mpenyo wewe penya tu ila Bodi ya ligi, TFF Wizara ya michezo wote Wanazingua hawaYanga waoga
Ndio sheria haijafuatwa,sasa si wasubiri tu
Labda lakini sheria zinatakiwa zifuatwe bana sio watu wajiamulie tu wanavyotaka.Yanga waoga
Ndio sheria haijafuatwa,sasa si wasubiri tu
Ni kweli,lakini ndio ishakuwa ilivyokuwaUkipata mpenyo wewe penya tu ila Bodi ya ligi, TFF Wizara ya michezo wote Wanazingua hawa
Labda lakini sheria zinatakiwa zifuatwe bana sio watu wajiamulie tu wanavyotaka.
Ni kweli,lakini ndio ishakuwa ilivyokuwa
Huyo jamaa kushoto,yuko sawa kweli?. Au ndio wale si ri....?Mubashara kutoka Estadio Benjamin MkapaView attachment 1777581
mnyama tafuna digidigi huyo🤣🤣🤣Mubashara kutoka Estadio Benjamin MkapaView attachment 1777581
Kwanini itumike busara badala ya taratibu na sheria?Simba nao wameshaingiza Timu uwanjani. Kuna maandalizi ya uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mzee Mwinyi.
Viongozi wa Yanga watumie busara tu hii game ichezwe
TFF imejivua kwenye lawama. Hayo ni maagizo ya Waziri wa michezo.Kwanini itumike busara badala ya taratibu na sheria?