OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,710
we andika upuuzi tu,utaukimbia huu uziHii timu si ndio iliyoshindwa kupiga shuti hata moja golini kule zanzibar?manunu fc atajuuta kwenda uwanjani
we andika upuuzi tu,utaukimbia huu uziHii timu si ndio iliyoshindwa kupiga shuti hata moja golini kule zanzibar?manunu fc atajuuta kwenda uwanjani
usijichoshe mrembo.yatakushindaKila rakheri Yanga! Piga simba wa kufugwa hao😬
Umeipenda mwenyewe, eti?Yaani acha iniueee siwezi kuhama katu, Simba siwapendii
Duuh!! Hivyo Mtani unataka kila atakayeandika hapa aipambe 5imba? Lolwe andika upuuzi tu,utaukimbia huu uzi
Hivi mnatuonaje Yanga lkn🤔 haya matokeo yataamua mkuuusijichoshe mrembo.yatakushinda
Ndiyoo sikulazimishwa😀Umeipenda mwenyewe, eti?
tatizo hamna timu ya kushindana na sisi mabingwaHivi mnatuonaje Yanga lkn🤔 haya matokeo yataamua mkuu
sio aipambe,ila kuheshimu machampion ni wajibu wakeDooh!! Hivyo Mtani unataka kila atakayeandika hapa aipambe 5imba? Lol
Unafurahika na mnyama ukiwa pande gan?
Mtani kwani huko Zanzibar anakosemea mlipiga mashuti mangapi eti? 🤣🤣🤣sio aipambe,ila kuheshimu machampion ni wajibu wake
Dada nakupenda.Duuh!! Hivyo Mtani unataka kila atakayeandika hapa aipambe 5imba? Lol
View attachment 1777436
TFFwhy mnatuchelewesha kuchinja hawa utopolo
Wakati hajawahi kwenda hata uwanja wa netbalUtashangaa mama anataka kuhudhuria maana hii nchi siasa kila sehemu