Kyooma
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 224
- 98
Wakuu kuna frend wangu alikua anasumbuliwa na binti mmja wa kimakuwa ki ukweli jamaa alikua hamtaki na wala hana hisia zozote kwa binti na Ukitegemea tayari alikuwa na mupenzi wake na wanataraji funga ndoa mwakani. Baada ya binti kumtongonza jamaa bila mafanikio kwa wiki karibu 3 ndo BINTI akamua kumwambia jama kwamba kama hamtaki basi anaomba japo mechi moja ya ugenini alafu baada ya hapo hatamsumbua tena. Kwa kua jamaa alikua ameshachoshwa na usumbufu na akaona baada ya kumtimizia hicho basi usumbufu utaisha kutoka kwa yule binti.
Sasa baada ya gemu sijui jamaa alilamba sukari gani, jamaa angu amedata na mahaba ya yule mmakuwa anaanza kumpigia simu usiku kucha na binti kakaza anamwabia walikubaliana game moja mbona anakiuka makubakiano jamaa sa vi kawa kama chizi juu ya penzi la mda mfupi la yule binti.. jamaa kila siku nyumbani kwa binti akipga magoti na kumbembeleza wawe wapenzi na hatimaye wafunge pingu za maisha za maisha. Demu analeta poz na hana mda na jamaa..penz la mda mfupi limemsahaulisha yote waliopanga na mpenz wake.
Nmeshindwa kutoa ushauli koz cjaelewa kama ni penzi la nguvu za giza au ni ufundi wa binti ndo umendatisha. pliiiiz ushauri
Sasa baada ya gemu sijui jamaa alilamba sukari gani, jamaa angu amedata na mahaba ya yule mmakuwa anaanza kumpigia simu usiku kucha na binti kakaza anamwabia walikubaliana game moja mbona anakiuka makubakiano jamaa sa vi kawa kama chizi juu ya penzi la mda mfupi la yule binti.. jamaa kila siku nyumbani kwa binti akipga magoti na kumbembeleza wawe wapenzi na hatimaye wafunge pingu za maisha za maisha. Demu analeta poz na hana mda na jamaa..penz la mda mfupi limemsahaulisha yote waliopanga na mpenz wake.
Nmeshindwa kutoa ushauli koz cjaelewa kama ni penzi la nguvu za giza au ni ufundi wa binti ndo umendatisha. pliiiiz ushauri