Mbona hamnaAzam1 HD
😁😁😁 Nimecheki hapa naona darasa anatumbuizaWasafi TV
255 champion boy😁😁😁 Nimecheki hapa naona darasa anatumbuiza
😁Mnaofuatiliaga haya mambo ya wasafi mna kazi sana!255 champion boy
Wasafi Wameboa
Najua jana walikuwepo Arusha.. ila siwezi enda mimi kushangaa kama chizi.
Nilitegemea niwakute leo wanarusha.. maajabu wanarusha vya Mtwara.
It depends.. kama sio mtu wa music nahisi huwezi kuwaelewa.😁Mnaofuatiliaga haya mambo ya wasafi mna kazi sana!
Hv mnaoendaga kwenye haya matamasha hua mnaenjoy nn? Nliendaga fiesta Moja nlijuta sitakaaa nirudi
Nilitazama Jana, hakuna kitu nachukia kama ulipishwe pesa ya kiingilio, kisha uanze kuimbishwa kama chizi, mara mikono juu, twende huku, siwasikii, sijui ruka ruka, vua shati, washa tochi, kheeeh'..!😂😂255 champion boy
Wasafi Wameboa
Najua jana walikuwepo Arusha.. ila siwezi enda mimi kushangaa kama chizi.
Nilitegemea niwakute leo wanarusha.. maajabu wanarusha vya Mtwara.
Kwenye Tv naweza nkaangalia lkn kuhudhuria sahauIt depends.. kama sio mtu wa music nahisi huwezi kuwaelewa.
Mfano sahivi Tv haina cha maana mpk saa 3. So nabuy time wasafi
Siendi mimi… na ndio maana nimesema walikuwepo Arusha nikadhani watarusha kwa Tv leo.
Huo muda si nikakae counter na fanta yangu aisee 😂🤣Nilitazama Jana, hakuna kitu nachukia kama ulipishwe pesa ya kiingilio, kisha uanze kuimbishwa kama chizi, mara mikono juu, twende huku, siwasikii, sijui ruka ruka, vua shati, washa tochi, kheeeh'..!😂😂
Kama kawaida yao, mpira wa chumbani.Hawataki watu muone