Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,659
- 68,625
Una majibu yanakera watyuuuu hahaNtatuliaje na nina raha ya Ushindi
Una majibu yanakera watyuuuu hahaNtatuliaje na nina raha ya Ushindi
Ebu nitext nashindwa. ....Una majibu yanakera watyuuuu haha
Ha ha ha ha wamekimbia wotee sa hviUna majibu yanakera watyuuuu haha
Pale mkuu tumepata na hata Gadiel Michael naye amejitahidi sana
Uzuri sijaipenda yanga jana wala juzi hivyo kama kuumia nshaumia sana haya ni marudio tu.
Nipo aisee na wala siondoki
Hahahahahahahahahahahahaha wabongo tumeshindikana siku zote hatupendi kuumiza vichwa, tunapenda sana vitu rahisi-rahisiBONGO BAHATI MBAYA .
simba kateni rufaa ........ya kombee hilo.
Yanga wame Dukuwa kombe lenu.
[HASHTAG]#shield[/HASHTAG] .........wakaaandika [HASHTAG]#sheild[/HASHTAG]
NDALICHAKOO PITIA NA HUKU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu kaka ake.
Hivi ulipotelea wapi? Karibu tena.