Hakika Mtani.Si mbaya, muhimu umeziona.
Yaani pacha Yanga waliifanya siku yangu ikavurugika mana nilichukia mbaya. ๐
Eti kidogo. Lol.Hata mie jana nilisikitika kidogo kwa ajili yako ๐คญ
Wacha kabisa Pacha wajua tena Uyanga lia lia huu nao huwa ni tatizo. ๐๐๐Pacha jana ulipotea kabisa mazingira haya
Wacha kabisa Pacha wajua tena Uyanga lia lia huu nao huwa ni tatizo. ๐๐๐
Hebu niache Pacha.Mie bado nakukumbusha sisi simba hatujawahi kufunga dirisha la usajili wa mashabiki wapya
Mkichoka kulia na yanga yenu,karibu sana sana sana simba
Hebu niache Pacha.
Njoo tumalizie keki huko mana huko kwenu sikuwezi hata kwa sekunde japo wanaonizunguka wote wako huko. ๐
Hahahahaaa. Pacha umejua kunichekesha lol. Mana kama mie nilianza kuongezeka vinyama kidogo ila jana tu naona nimeanza kunywea. ๐Huku kwetu ukiamua kuja hautajuta,mie siku nikitaka kupunguza uzito nitahamia kwenu ๐คฃ
Nitakuja na cake yangu pia tulinganishe ipi ilikuwa tamu zaidi ๐ค
Hahahahha sijui umeanza lini ukorofi