technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hii mechi inaenda kuongeza wagonjwa wa corona na tumeambiwa tayari kigoma kuna wagonjwa 10
Inakuwaje watu wanataka kusongamana uwanjani?
Mwanza tumeambiwa kuna corona na unajua mwingilano uliopo kati ya mwanza na kigoma ni mkubwa mno.
Nasikitika watu kwa maelfu wamesafiri kwenda kigoma kutoka dar sijui wakirudi hali inakuwaje dar?
Naomba serikali wazuie mashabiki kuingia uwanjani au waingie hata mashabiki 500 kwa kila timu ili kuweka distance otherwise
Serikali wakiacha hii mechi watu wajazane hawana nia ya kweli ya kupambana na corona.
Inakuwaje watu wanataka kusongamana uwanjani?
Mwanza tumeambiwa kuna corona na unajua mwingilano uliopo kati ya mwanza na kigoma ni mkubwa mno.
Nasikitika watu kwa maelfu wamesafiri kwenda kigoma kutoka dar sijui wakirudi hali inakuwaje dar?
Naomba serikali wazuie mashabiki kuingia uwanjani au waingie hata mashabiki 500 kwa kila timu ili kuweka distance otherwise
Serikali wakiacha hii mechi watu wajazane hawana nia ya kweli ya kupambana na corona.