Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,883
Hàbari za Jumapili wapendwa.
Nimetafakari sana juu ya mechi ya jana kati ya Utopolo vs Refugees na kugundua mechi ile haikuwa na hadhi ya kuitwa CL Africa bali ni Kagame Cup kwa kuwa wale jamaa walikuwa wakicheza huku wakiwaza this time tomorrow.Ama kwa Hakika tuliombee Taifa lao amani irejee vita ni mbaya sana.
Hata hivyo kwa kuwa upande wa pili ni watu wanaopenda matatizo ya wenzao kwao ilikuwa sherehe pale Pele stadium ama kwa hakika wamepiga bomu Mortuary.Naomba tuwe na kiasi katika kuchangia uzi wangu
Nimetafakari sana juu ya mechi ya jana kati ya Utopolo vs Refugees na kugundua mechi ile haikuwa na hadhi ya kuitwa CL Africa bali ni Kagame Cup kwa kuwa wale jamaa walikuwa wakicheza huku wakiwaza this time tomorrow.Ama kwa Hakika tuliombee Taifa lao amani irejee vita ni mbaya sana.
Hata hivyo kwa kuwa upande wa pili ni watu wanaopenda matatizo ya wenzao kwao ilikuwa sherehe pale Pele stadium ama kwa hakika wamepiga bomu Mortuary.Naomba tuwe na kiasi katika kuchangia uzi wangu