Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,473
- 757
Kweli kocha kakosea kupanga kwani ameacha wachezaji wazuri na kuingiza wasio na ushirikiano katika timu.Timu ya Dr Slaa KACHUMBARI sana. Itafungwa mengi tu.
Hamad Rashid mbona umemuacha na yeye atokeMrema atoke aingie Halima mdee,Cheyo atoke aingie Wenje zitto atoke aingie David Silinde Mrema atoke aingie Lucy Owenya, na Shibuda atoke aingie Mh Arfi au wanawake hawaruhusiwi?
Timu ya Dr Slaa KACHUMBARI sana. Itafungwa mengi tu.
Hao ni sub!Mrema atoke aingie Halima mdee,Cheyo atoke aingie Wenje zitto atoke aingie David Silinde Mrema atoke aingie Lucy Owenya, na Shibuda atoke aingie Mh Arfi au wanawake hawaruhusiwi?