choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,289
- 4,088
Ac Milan 3 Liverpool 3. Mwaka 2005
Yanga 3 Simba 3 .2014. Kipindi cha kwanza tuu Yanga walikua mbele kwa goli tatu, kila mtu akajua goli tano walizopigwa 2012 ndio zitarudi sasa, ila maajabu yaliyotokea kipindi cha pili si Yanga wala Simba mpaka Leo hawaamini kilichotokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga 3 Simba 3 .2014. Kipindi cha kwanza tuu Yanga walikua mbele kwa goli tatu, kila mtu akajua goli tano walizopigwa 2012 ndio zitarudi sasa, ila maajabu yaliyotokea kipindi cha pili si Yanga wala Simba mpaka Leo hawaamini kilichotokea
Sent using Jamii Forums mobile app