Mechi 3 bora za wakati wote!

2002 world cup opening match France Vs Senegal
Ufaransa ikiwa na mastaa kibao ikapigwa na the dream team ever in Africa 1-0.
Papa Bouba Diop akipachika bao dakika ya 29
 
Ungejua ulivyokitonesha kidonda changu kilichokwisha kupona?
Basi tu.
Hata hivyo mechi zilizowahi kuniuma maishani,nililia zaidi ya msiba;zipo 2 tu.
1.France vs Italy 2006 (World Cup Final)Nilikuwa upande wa France
2.Arsenal vs Barcelona (UEFA Final)
Nimesahau mwaka ila nakumbuka Jens Lehman alipewa red card kwa madai ya kumfanyia Samuel Eto'o madhambi.
Kama sio ile red card kombe lilikuwa letu kabisa .
Mechi ile ilinifanya nikamchukia Eto'o na Barcelona hadi leo.
cc BAK
Hio mechi ya Lehman kupewa red Ilikua 2006
 
Liverpool vs dotmund April 4 2016
Stasahau hii mechi nilikua mbele kbs na jezi yangu ya Liverpool
Tulivyopigwa zile 2 nkataka kutoka kwanza ,,,nikazuiwa kutoka
Mwisho wa mechi tulibaki wachache baada ya sakho na lovren kufanya yao
 
mkuu we acha tu , hakuna siku iliyoniuma na kuisahau kama siku ya final 2014, dakika za lala salama tukakalishwa chini, matokeo yakawa Argentina 0-1 mabingwa...kwakweli sina hamu.ukizingatia defence yetu ilikua imara sana kana kwamba walishindwa kupenya kiurahisi,huku otamendi,marcos rojo,garay,.dah basi tu. GORTZE alituhuzunisha waargentina that day......
Messi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya AC na Liverpool nikiwa nashabikia AC nikaenda kulala after first half, kwamba kazi imeisha, na kuanza kejeli (as if nina maslahi kama Berlusconi) Nilipoamka asubuhi kupata matokeo, mijicho ilinitoka kwa kutoamini.

Mshabiki wa Ac MIlan halafu kweli ulienda kulala half time katiaka mechi ya fainal? tena timu ikiwa inaongoza? mkuu tuache kidogo hapo
 
Back
Top Bottom