Mechanism inayotumika kucontrol izi taa za kuongozea magari (traffic light)

ankai

JF-Expert Member
Nov 25, 2017
3,280
4,236
Mara waga najiuliza maswali yafuatayo kuhusu ufanyaji kazi wa hizi taa

Je izi taa hujicontrol zenyewe automaticall yaani system nzima iko pale pale ilikofungwa taa ama kuna watu wanakuwa control room sehemu fulan ndo wanafanyaizo regulations za muda pale?

Je izi taa zote zinatumia system moja ama kila taa ina system yake tofauti na nyingine na maanisha m:ano taa zote zilizopo apa dar?

Je ni mechanism gani imekuwa installed mule ndani kiasi kwamba zile machine au taa ni nadra kukuta zimekosea hesabu ama timing ya muda (time interval)?

Je taa zote zilizopo apa dar tine intervl yake ni sawa kwa maana ya kwamba mfano muda uliosetiwa kwenye taa za moroco ndo huo umesetiwa kwenye taa za ubungo, mwenge kawe njia panda, posta na kadhalika?

Je izi taa zinatumiaga umeme huu wa kawaida wa tanesco 220 ama huu wa wazungu 110 au zinatumia solar?

Je kwa ulimwengu ulikofikia kitaknolojia hakuna namna zinaweza kuunganishwa katika mfumo mmoja zote wa ufanyaji kazi mfano izi zilizopo apa dar ziwe na control system moja means ziwe zinamuwezesha mtumiaji kuweza kucalculate muda btn point A and B yani nikivuka mwenge basi automaticaly niwe najua kuwa nikitaka kuwahi kuvuka moroco basi nina dakika kadhaa nikiziwahi izi dakika basi nitakuta moroco taa zinaruhusu
Wa upande nitokako ivyo sintokaa foleni?

Kwa mwenye majibu ya maswali haya karibu
 
solar ndo nyingi lakini zingine tanesco, kinachofanyika ni binary systems! on and off, katika mtindo Wa delay!!!! in short hizo ni command zilizokaririshwa kwenye computer kwa interval ya second! tembelea DIT wale watoto wanacheza nazo sana hizo mambo, tena Wa mwaka Wa kwanza tu!!
 
Google utapata majibu ya fasaha
Screenshot_2018-10-22-20-55-36.jpg
 
ngoja waje wadau,, huwa nasubiri siku moja zigome kutoa green light zioneshe red tu kotekote alafu ukute ndio pale ubungo,, imagine
 
Mara waga najiuliza maswali yafuatayo kuhusu ufanyaji kazi wa hizi taa

Je izi taa hujicontrol zenyewe automaticall yaani system nzima iko pale pale ilikofungwa taa ama kuna watu wanakuwa control room sehemu fulan ndo wanafanyaizo regulations za muda pale?

Je izi taa zote zinatumia system moja ama kila taa ina system yake tofauti na nyingine na maanisha m:ano taa zote zilizopo apa dar?

Je ni mechanism gani imekuwa installed mule ndani kiasi kwamba zile machine au taa ni nadra kukuta zimekosea hesabu ama timing ya muda (time interval)?

Je taa zote zilizopo apa dar tine intervl yake ni sawa kwa maana ya kwamba mfano muda uliosetiwa kwenye taa za moroco ndo huo umesetiwa kwenye taa za ubungo, mwenge kawe njia panda, posta na kadhalika?

Je izi taa zinatumiaga umeme huu wa kawaida wa tanesco 220 ama huu wa wazungu 110 au zinatumia solar?

Je kwa ulimwengu ulikofikia kitaknolojia hakuna namna zinaweza kuunganishwa katika mfumo mmoja zote wa ufanyaji kazi mfano izi zilizopo apa dar ziwe na control system moja means ziwe zinamuwezesha mtumiaji kuweza kucalculate muda btn point A and B yani nikivuka mwenge basi automaticaly niwe najua kuwa nikitaka kuwahi kuvuka moroco basi nina dakika kadhaa nikiziwahi izi dakika basi nitakuta moroco taa zinaruhusu
Wa upande nitokako ivyo sintokaa foleni?

Kwa mwenye majibu ya maswali haya karibu
Izi sio Kiswahili fasaha.Ni hizi.
 
somo linaitwa Digital electronics pia kuna somo lingine linaitwa Control Engineering yafundishwa pale DIT kwa wanafunzi wa umeme, computer, Laboratory, nk.......ngoja waje wakuchambulie
 
Hata wewe ukiwa na remote control ya sing sung ukiwa karibia na mataa ukibonyeza kitufe cha kijani itabadilika ile taa
 
Kama msemaji aliyepita hapo juu alivyosea mataa yana Intergrated Circuit (IC). Yanakuwa programmed while yanakuwa Installed. DIT kwa bongo wanatisha sana, ila kwa mataa ya barabarani ni Tanroads wakishirikiana na TEMESA........


Matarajio yako hayo mtoa mada kwa huku kwetu bado changamoto nadhani ni miundombinu mfumo huo unawezekana ni ku overcome short comings tu, na inawezekana. Ni technology ambayo inakwenda na wakati. Traffic Light Systems, fika idara ya mawasiliano angani pale DIT kwa uelewa zaidi.
 
Taa zile ni Lighting emmiting diode LED zinatumia DC source Japo Huwapo na source ya AC tanesco au DC source kwa solar panel nyingi kwa sasa hutumia DC source yani solar panels, Taa zile zina controller kwa ajili ya kuperform zile logic operations zipo timers mbalimbali ambapo zipo integrated na counters ku archieve izo operations So far kama una microcontroller taa hizo unaweza kuzi acces remote na ukazi control pia mara nyingi taa hizi zina ji control zenyewe kwa kutumia Timers, ila tu saivi kuna Traffic light systems ambazo zina angalia upande wenye gari nyingi na kuruhusu
 
Wabongo bhana, badala ya kutoa majibu na ufafanuzi, wadau mnakimbilia kusema nenda DIT mara hayo yanafundishwa DIT! Kwani ameulizwa hivyo vitu vinafundishwa wapi?
Kama mmeyasoma huko DIT na mkaelewa basi mfafanulieni la sivyo inadhihirisha mlisoma huko mkatoka kappa!
 
solar ndo nyingi lakini zingine tanesco, kinachofanyika ni binary systems! on and off, katika mtindo Wa delay!!!! in short hizo ni command zilizokaririshwa kwenye computer kwa interval ya second! tembelea DIT wale watoto wanacheza nazo sana hizo mambo, tena Wa mwaka Wa kwanza tu!!
Mjomba umeongea kwa mbwembwe! Dar tech kawaida tu. Usiwape bichwa sanaaa.
 
Wabongo bhana, badala ya kutoa majibu na ufafanuzi, wadau mnakimbilia kusema nenda DIT mara hayo yanafundishwa DIT! Kwani ameulizwa hivyo vitu vinafundishwa wapi?
Kama mmeyasoma huko DIT na mkaelewa basi mfafanulieni la sivyo inadhihirisha mlisoma huko mkatoka kappa!
Ata mimi kwa kweli nawashangaa hawa wadau ina maana mimi mtu mmoja nitaweza kweli kusoma mambo yote yaliyopo apaa dunia ni apana haiwezekani lakini kama wewe unajua na ndio eneo lako basi nielekeze namimi siku ukiitaji kujua ya eneo langu basi nitakuelekeza na uelewe!
 
Zile taa zina control box palepale kwenye junction, unategemea tu wameamua kuiweka sehemu gani, na ukichunguza tu utaona mahali ilipowekwa,

wanachoweza kukontrol pale ni, kuongeza\kupunguza muda wa barabara A\B na wanaweza pia kuweka night mode, hii ni ile unapita usiku mida flani unakuta taa ya njano Ina blink (pita kwa tahadhari)

Lakini hawawezi badilisha mpngilio wake origin, kwani zimetengenezwa pamoja na mambo mengi ni kupunguza msongamano,

Kwamba zikiruhusu za moroko ukiwa na mwendokasi mzuri za kinondoni zote zinakuruhusu mpaka utakapofika magomeni ndo utasimamishwa kwa ajili ya kupisha mpngilio wa barabara kubwa\ morogoro road.

Taa zote zilizopo kwenye barabara moja zinasaidia gari ziendelee kwenda bila kuzijaza sehemu moja, hizi taa zina control ambayo ni hardware
 
Ziko programmed, baada ya muda gani inabadilika.
Kuna baadhi, Sidhani kama ziko Tz, zinakuwa activated na uwepo wa gari katika makutano, hizi ni kwa sehemu zisizo na magari mengi, ambapo unaikuta karibu muda wote iko nyekundu, gari inapokuwa imesimama/ kuikaribia inajigeuza baada ya kuihisi (sense) uwepo wa ile gari.
 
NAONA TULIOPITIA DIT TUNAVYO SASAMBULIWA HUMU........NAJARBU KUFUNYUA MAFAILI NIJE NA MUELEWESHO WA MAANA
1.CONTROL ENGINEERING
2.DIGITAL ELECTRONICS
3.ELEMENTS OF ELECTRONIC CIRCUIT..
 
Taa zile zimesetiwa kwa time intervals yaani kama labda zinazima daka tano theni inwaka daka tano wakati kijani imezima nyekundu inawaka na zina tumia logic gates kufanya hivyo,lakin pia inawezekana kutengeneza ya kucheki jam ipo upande gani ndo iruhusu kwenye control wanaita closed loop, hiz za time interval zinaitwa open loop control system
 
Back
Top Bottom