Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,117 Reaction score 16,500 Jul 4, 2018 #581 IKIRIRI said: Kabla hujajibiwa Mbinguni ndio nn? Au unazungumzia pepo? Click to expand... Kwani ameuliza swali?
IKIRIRI said: Kabla hujajibiwa Mbinguni ndio nn? Au unazungumzia pepo? Click to expand... Kwani ameuliza swali?
ntagunga JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 704 Reaction score 286 Jul 4, 2018 #582 IKIRIRI said: Point of correction thanks BT ubora wa mji wa mecca uko pale pale...kibla kipo pale. Click to expand... Kibra ni nini?
IKIRIRI said: Point of correction thanks BT ubora wa mji wa mecca uko pale pale...kibla kipo pale. Click to expand... Kibra ni nini?
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,117 Reaction score 16,500 Jul 4, 2018 #583 IKIRIRI said: Ukiona imani pale ilipoanzia hakuna mwenyeji anayeifuata jua kuna walakini.. Chukua hatua... Click to expand... Kwani haiuandikwa kwamba "nabii hakubaliki kwenye mji wake"? Ama ili akubalike pengine italazimika kutumike upanga?
IKIRIRI said: Ukiona imani pale ilipoanzia hakuna mwenyeji anayeifuata jua kuna walakini.. Chukua hatua... Click to expand... Kwani haiuandikwa kwamba "nabii hakubaliki kwenye mji wake"? Ama ili akubalike pengine italazimika kutumike upanga?
ntagunga JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 704 Reaction score 286 Jul 4, 2018 #584 IKIRIRI said: Husinilazimishe kuelewa... Click to expand... Husinilazimishe ndo lugha gani? Nayo ni ya Mecca?
IKIRIRI said: Husinilazimishe kuelewa... Click to expand... Husinilazimishe ndo lugha gani? Nayo ni ya Mecca?
shirley myles JF-Expert Member Joined May 19, 2018 Posts 916 Reaction score 612 Jul 4, 2018 #585 Acheni udini
ipyax JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 4,679 Reaction score 7,109 Jul 4, 2018 #586 Mbeya ndiyo mji bora duniani,karibuni sana jamani kuna ndizi,mchele,viazi na matunda ya kila aina kama bustani ya Eden.
Mbeya ndiyo mji bora duniani,karibuni sana jamani kuna ndizi,mchele,viazi na matunda ya kila aina kama bustani ya Eden.