jackison gozibert
Member
- Apr 16, 2018
- 12
- 4
Siijui mnanikaribisha kiaje.
ki fb...........Siijui mnanikaribisha kiaje.
mnataka kukaribisha churaNa hivi tayari jina limeonesha wewe ni mwanamme, mapokezi yatakuwa hafifu sana mkuu
Ansante Nokia katochi. Tuko pamojaMwanaume wa mkoani karibu
Mmhh. Me ni mtu mzima ninaye jielewa. Nina miaka 23 napenda sana matani, jokes, matusi ya kumanisha sitaki. Napenda sana kuwa marafiki wanao jieshimu. Napenda sana kuwa na mchumba ndo ndoto yangu aswa. Fest of All(ushirikiano, ushauri, nk ni muimu sana kwenye maisha yetu)Kwanza tujue,
Jinsi yako,
Umri wako,
Mahusiano yako,
Picha zako mbili ulizopiga hivi karibuni,
Jizungumzie kwa ufupi wewe ni nani,
Ukiwa unaendelea kujieleza kuna juice kwenye fridge au kahawa kwenye chupa unataka nini.
We karibu tu kivyovyote anSiijui mnanikaribisha kiaje.