- Thread starter
- #21
kweli kwa mtazamo wako lakini kama na wewe ni nyumbuFunza na mende wana akili kuliko wewe,sijui mnatokaga wapi wapuuzi kama wewe
kweli kwa mtazamo wako lakini kama na wewe ni nyumbuFunza na mende wana akili kuliko wewe,sijui mnatokaga wapi wapuuzi kama wewe
Unayapimaje mafanikio?waliojaribu kumpindua nyerere mwaka 64 walijaribu tena 74 wakajaribu 82 waliweza ? mawazo hasi sio lazima yafanikiwe
hawakuwezaUnayapimaje mafanikio?
sumu ya nyigu..hakustahili kuuwawa.
..waliomuua Mdude wameichafua nchi, na ndio waliosababisha machafuko na mauaji ya Oct 29.
kuna njia sahihi tupingane kwa hoja tuandae majukwaaa kama enzi za dr slaaaMtoa mada alisoma kuhusu Kinjeketile Ngware alivyopambana na Wajerumani, akaaminishwa kama shujaa kupambananao leo anamcheka Mdude kupigania Katiba Mpya! Kupigania itawala bora nchini Tanzania! Elimu yako ilikusaidia nini?
ahaaa imemuuma mwenyewe, kuna siku alisema anaomba apambanishwe na Rais IGP sio size yake nilijiuliza sana kulikoni? nddo maria anawaandaaa wenginesumu ya nyigu
🚮BAADA YA MATAMBO YOTE LEO KAMUACHA MJANE ANALIWA NA BODABODA NA MTOTO ANALELEWA KWA KUUNGA UNGA
sio tanzania, tuipende nchi yetu tuwe wastaarabu , nimemkumbuka mdude kwa sababu maria anawaoomba vijana wakiwashe kokote walipo , nikajichekea sana nikaona manyumbu yanaandaliwa kuuliwa tena, nawasaidia kuwastua msifuate mkumbo , wengi wachochezi wapo nje sisi wanyaki tutafia hapa hapa🚮
Usisahau kuwa utawala ukionea sana wananchi kwa ukatili mkubwa kama mnavyofanya nyie matokeo yake huwa ni kuibuka kwa makundi ya waasi na wapiganaji
kuna sku alipewa msamaha kwenye kesi moja ivi, akatoka akasema "wamejaribu wameshindwa hatimae nimenyoa" nikasema sasa wewe sku zako sio nyingiahaaa imemuuma mwenyewe, kuna siku alisema anaomba apambanishwe na Rais IGP sio size yake nilijiuliza sana kulikoni? nddo maria anawaandaaa wengine
umethibitisha amekufa?..hakustahili kuuwawa.
..waliomuua Mdude wameichafua nchi, na ndio waliosababisha machafuko na mauaji ya Oct 29.
Hilo ni angalizo tu kwa nyie watekaji na wauaji wa Watanganyika.sio tanzania, tuipende nchi yetu tuwe wastaarabu , nimemkumbuka mdude kwa sababu maria anawaoomba vijana wakiwashe kokote walipo , nikajichekea sana nikaona manyumbu yanaandaliwa kuuliwa tena
wameichafua nchi ? nchi inachuka kwa kijinga kimoja kuwa na matusi kama vile hana wazazi?
fanya mengine huyo msahau , sijasema kafa ila msahau wakumbuk wanawe kama bado unampenda sumu ya nyiguumethibitisha amekufa?
Alionywa sana hakusikia, alishauriwa sana hakusikia, siasa zipo ila kauli za ajabu ajabu sio utamaduni wetu, leo mwingine kaanzisha kampeni huko mitandaoni eti atakiwasha , vijana wakiwashe kokote, hakuna anayebisha kuna mapungufu serikalini lakini sio kwamba ni imeoza kabisa hapana ina mema yake pia sema kasi yetu sio sahihi na watendaji ndo wanaoiangusha ccm, wakosee waunde kikosi cha kusimamia nidhamu ya watumishi wanikabidhi na sheria ibadilishwe kuwe na hukumu ya kunyongwa ndani ya siku 14 ukikutwa na hatia ya rushwa au unadhirifu, uzembe miaka 30 jela na kazi ngumu bila rufaaaa..tuchukuliane kama wanadamu.
..tatizo la Ccm ni kwamba mmejazwa CHUKI mpaka mnaona wakosoaji na wapinzani sio wanadamu sawa na nyinyi.
..haiwezekani uone mtu aliyekosoa, au hata aliyetukana, anastahili kuuwawa kinyama.
..waliomuua Mdude, na waliowatuma, ndio wenye matatizo, na wanaoharibu amani yetu.
SIjasema kauwawa ila sumu ya nyigu hayupo tena kutukana tukana usikariri majibuKUMBE VICHAA BADO MPO JF.
UKIWA MKOSOAJI ADHABU YAKO NI KUTEKWA AMA KUUWAWA?
JE KUNA HAJA YA KUWA NA UPINZANI KWA MTINDO WA KUUWAWA????
MUNGU AKUPE AKILI JAPO KIDOGO TU, USISHEREKEE MABAYA YA MWENZAKO.
umethibitisha amekufa?
Alionywa sana hakusikia, alishauriwa sana hakusikia, siasa zipo ila kauli za ajabu ajabu sio utamaduni wetu, leo mwingine kaanzisha kampeni huko mitandaoni eti atakiwasha , vijana wakiwashe kokote, hakuna anayebisha kuna mapungufu serikalini lakini sio kwamba ni imeoza kabisa hapana ina mema yake pia sema kasi yetu sio sahihi na watendaji ndo wanaoiangusha ccm, wakosee waunde kikosi cha kusimamia nidhamu ya watumishi wanikabidhi na sheria ibadilishwe kuwe na hukumu ya kunyongwa ndani ya siku 14 ukikutwa na hatia ya rushwa au unadhirifu, uzembe miaka 30 jela na kazi ngumu bila rufaaaa