Mdude Nyagali yupo wapi? Hebu tujikumbushe maneno yake

Mdude Nyagali yupo wapi? Hebu tujikumbushe maneno yake

ndoto2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
1,454
Reaction score
1,284
1. Kuna mwanaharakati mmoja hivi alijipatia umaarufu sana anaitwa mdude Nyagali AKA SUMU YA NYIGU

Alikuwa anajisifu sana kuwa yeye ndo alimnyoa mwendazake na panga bila maji kwa kauli zake mwenyewe
na Maria sarungi alikuwa anampamba balaaaa , wewe kidume hawakuwezi umewashika pabaya mara hivi mara vile makauli kibao ya kumtia moyo masikini yule kijana mdogo.

2 Aliwatukana sana polisi kuwatishia ma OCD kuwa wakigusa tu atawarudishia wembamba wa kipindi wanaingia jeshini, very misrespect to the system naomba sikilizeni clip zake halafu tujifunze kitu

3. Mwisho natoa ushauri kwa vijana wenye miheko, siasa inafanywa majukwani kwa taratibu halali kujifanya kichaa unakuja na ushabiki na uhuni wa usela nondo utaishia kuwa simulizi kabla hujatimiza ndoto zako za maisha .

TUELIMIKE TUWE WASTAARABU TUIPENDE NCHI YETU , BAADA YA MATAMBO YOTE LEO KAMUACHA MJANE ANALIWA NA BODABODA NA MTOTO ANALELEWA KWA KUUNGA UNGA


View: https://www.youtube.com/watch?v=P9-O5Uw_two - Simwogopi mtu Tanzania namwogopa mungu tu, polisi leo njooni niwashikishe adabu

MDUDE USO KWA USO NA LIJUALIKALI MBABE NANI - Mwaka huu watajua nywele zinanyolewaje


View: https://www.youtube.com/watch?v=5MXLOHxfMQ4- mimi nimepambana na miamba sio level za ma ocd, wewe ocd njoo mavi yakuishe tumboni
 
1. Kuna mwanaharakati mmoja hivi alijipatia umaarufu sana anaitwa mdude Nyagali AKA SUMU YA NYIGU

Alikuwa anajisifu sana kuwa yeye ndo alimnyoa mwendazake na panga bila maji kwa kauli zake mwenyewe
na Maria sarungi alikuwa anampamba balaaaa , wewe kidume hawakuwezi umewashika pabaya mara hivi mara vile makauli kibao ya kumtia moyo masikini yule kijana mdogo.

2 Aliwatukana sana polisi kuwatishia ma OCD kuwa wakigusa tu atawarudishia wembamba wa kipindi wanaingia jeshini, very misrespect to the system naomba sikilizeni clip zake halafu tujifunze kitu

3. Mwisho natoa ushauri kwa vijana wenye miheko, siasa inafanywa majukwani kwa taratibu halali kujifanya kichaa unakuja na ushabiki na uhuni wa usela nondo utaishia kuwa simulizi kabla hujatimiza ndoto zako za maisha .

TUELIMIKE TUWE WASTAARABU TUIPENDE NCHI YETU , BAADA YA MATAMBO YOTE LEO KAMUACHA MJANE ANALIWA NA BODABODA NA MTOTO ANALELEWA KWA KUUNGA UNGA


View: https://www.youtube.com/watch?v=P9-O5Uw_two - Simwogopi mtu Tanzania namwogopa mungu tu, polisi leo njooni niwashikishe adabu

MDUDE USO KWA USO NA LIJUALIKALI MBABE NANI - Mwaka huu watajua nywele zinanyolewaje


View: https://www.youtube.com/watch?v=5MXLOHxfMQ4- mimi nimepambana na miamba sio level za ma ocd, wewe ocd njoo mavi yakuishe tumboni

Utter nonsense. Kumuua au kumpoteza mkosoaji ni violation of rule of law!
 
Utter nonsense. Kumuua au kumpoteza mkosoaji ni violation ya rule of law!
sijui nani kampoteza ahaaa ahaaa lakini si alijiapia yeye atawatoa polisi mavi wamguse sasa yeye na hao nani katolewa mavi? Ujumbe ni kuwa tusiwashawishi vijana ujinga unakuja kujikuta upo mwenyewe unapotolewa kinyesi, tushauri siasa za kistaarabu
 
Unafurahia binadamu mwenzio kuuwawa ?
Kweli kwa mdude najiuliza ule ubabe wake mbona haujamsaidia ? tumejifunza nini? usiwe nyumbu elimika , elewa nataka kukupa ujumbe gani? kuwa kimbelembele kinakuponza kama individual Maria analiwa na mumewe kamchochea Mdude leo mdude familia yake inalelewa na madereva boda boda kwa kumgongea mkewe
 
Kweli kwa mdude najiuliza ule ubabe wake mbona haujamsaidia ? tumejifunza nini? usiwe nyumbu elimika , elewa nataka kukupa ujumbe gani? kuwa kimbelembele kinakuponza kama individual Maria analiwa na mumewe kamchochea Mdude leo mdude familia yake inalelewa na madereva boda boda kwa kumgongea mkewe
Kama unaona alifaidi sana na wewe kuwa kama yeye. Ni rahisi sana, ni maisha yake, kachagua kuishi hivyo. Unadhani hakuwa anajua hasara mpaka uje utuambie wewe (who are you). Siku nyingine fikiria kabla ujaanzisha mada
 
1. Kuna mwanaharakati mmoja hivi alijipatia umaarufu sana anaitwa mdude Nyagali AKA SUMU YA NYIGU

Alikuwa anajisifu sana kuwa yeye ndo alimnyoa mwendazake na panga bila maji kwa kauli zake mwenyewe
na Maria sarungi alikuwa anampamba balaaaa , wewe kidume hawakuwezi umewashika pabaya mara hivi mara vile makauli kibao ya kumtia moyo masikini yule kijana mdogo.

2 Aliwatukana sana polisi kuwatishia ma OCD kuwa wakigusa tu atawarudishia wembamba wa kipindi wanaingia jeshini, very misrespect to the system naomba sikilizeni clip zake halafu tujifunze kitu

3. Mwisho natoa ushauri kwa vijana wenye miheko, siasa inafanywa majukwani kwa taratibu halali kujifanya kichaa unakuja na ushabiki na uhuni wa usela nondo utaishia kuwa simulizi kabla hujatimiza ndoto zako za maisha .

TUELIMIKE TUWE WASTAARABU TUIPENDE NCHI YETU , BAADA YA MATAMBO YOTE LEO KAMUACHA MJANE ANALIWA NA BODABODA NA MTOTO ANALELEWA KWA KUUNGA UNGA


View: https://www.youtube.com/watch?v=P9-O5Uw_two - Simwogopi mtu Tanzania namwogopa mungu tu, polisi leo njooni niwashikishe adabu

MDUDE USO KWA USO NA LIJUALIKALI MBABE NANI - Mwaka huu watajua nywele zinanyolewaje


View: https://www.youtube.com/watch?v=5MXLOHxfMQ4- mimi nimepambana na miamba sio level za ma ocd, wewe ocd njoo mavi yakuishe tumboni

Dah.... kwaiyo inamaana kauliwa au?mbona nimeona neno mjane kwa mkewe..ila dogo alikuwa ana maneno makali sana
 
Very misrespect to the system..hahaha...ila chawa hawa aisee ni malumpen hasa...hivi recruitment criteria yenu ni lile yai la form 4 nini?...maana huko hata D mbili tu hakuna...
hapana raia mwema tu , aliitukana sana system leo kaiachia familia yake tu mateso na yeye mwenyewe aliyoyapitia acha kabisa hayasimuliki , angeweza angewashauri msifuate mkumbo tena , mbona sugu anasiasa za kistaarbu, mbowe, na wengi tu kwa nini yeye tu alijifanya kichaaaa
 
sijui nani kampoteza ahaaa ahaaa lakini si alijiapia yeye atawatoa polisi mavi wamguse sasa yeye na hao nani katolewa mavi? Ujumbe ni kuwa tusiwashawishi vijana ujinga unakuja kujikuta upo mwenyewe unapotolewa kinyesi, tushauri siasa za kistaarabu
Ramli inaniambia wewe unajua zaid yaliyomfika huyo kijana
 
Kama unaona alifaidi sana na wewe kuwa kama yeye. Ni rahisi sana, ni maisha yake, kachagua kuishi hivyo. Unadhani hakuwa anajua hasara mpaka uje utuambie wewe (who are you). Siku nyingine fikiria kabla ujaanzisha mada
Ule ujinga nani aufanye siwezi kujiingiza kwenye upumbavu kama ule unamtukana kila mtu kama vile wewe ndo alfa na omega , mbuzi mawe kabisa
 
Ramli inaniambia wewe unajua zaid yaliyomfika huyo kijana
na mimi mwenyewe namtafuta home boy mnyakyusa mwenzangu, mnyakyusa mjinga tulimshauri alipookotwa , fanya siasa ila angalia maneno ya kuongea kuwa na staha ? akaona watu waoga masnitch alitutukana sana humu mitandaoni
 
na mimi mwenyewe namtafuta home boy mnyakyusa mwenzangu, mnyakyusa mjinga tulimshauri alipookotwa , fanya siasa ila angalia maneno ya kuongea kuwa na staha ? akaona watu waoga masnitch alitutukana sana humu mitandaoni
Bangi zilikuwa zinamfanya awe vile....ila wangempa kesi kubwa awe tu jela kuliko kumuua kabisa yule mvuta bange
 
1. Kuna mwanaharakati mmoja hivi alijipatia umaarufu sana anaitwa mdude Nyagali AKA SUMU YA NYIGU

Alikuwa anajisifu sana kuwa yeye ndo alimnyoa mwendazake na panga bila maji kwa kauli zake mwenyewe
na Maria sarungi alikuwa anampamba balaaaa , wewe kidume hawakuwezi umewashika pabaya mara hivi mara vile makauli kibao ya kumtia moyo masikini yule kijana mdogo.

2 Aliwatukana sana polisi kuwatishia ma OCD kuwa wakigusa tu atawarudishia wembamba wa kipindi wanaingia jeshini, very misrespect to the system naomba sikilizeni clip zake halafu tujifunze kitu

3. Mwisho natoa ushauri kwa vijana wenye miheko, siasa inafanywa majukwani kwa taratibu halali kujifanya kichaa unakuja na ushabiki na uhuni wa usela nondo utaishia kuwa simulizi kabla hujatimiza ndoto zako za maisha .

TUELIMIKE TUWE WASTAARABU TUIPENDE NCHI YETU , BAADA YA MATAMBO YOTE LEO KAMUACHA MJANE ANALIWA NA BODABODA NA MTOTO ANALELEWA KWA KUUNGA UNGA


View: https://www.youtube.com/watch?v=P9-O5Uw_two - Simwogopi mtu Tanzania namwogopa mungu tu, polisi leo njooni niwashikishe adabu

MDUDE USO KWA USO NA LIJUALIKALI MBABE NANI - Mwaka huu watajua nywele zinanyolewaje


View: https://www.youtube.com/watch?v=5MXLOHxfMQ4- mimi nimepambana na miamba sio level za ma ocd, wewe ocd njoo mavi yakuishe tumboni

Funza na mende wana akili kuliko wewe,sijui mnatokaga wapi wapuuzi kama wewe
 
sijui nani kampoteza ahaaa ahaaa lakini si alijiapia yeye atawatoa polisi mavi wamguse sasa yeye na hao nani katolewa mavi? Ujumbe ni kuwa tusiwashawishi vijana ujinga unakuja kujikuta upo mwenyewe unapotolewa kinyesi, tushauri siasa za kistaarabu
Huko ni kufilisika kifikra. Mdude stood for an idea. Wazo halifi kwa risasi. Ukimuua mtu mmoja wanaibuka wengine wa aina yake (au jeuri zaidi). Utaua wangapi?
 
Huko ni kufilisika kifikra. Mdude stood for an idea. Wazo halifi kwa risasi. Ukimuua mtu mmoja wanaibuka wengine wa aina yake (au jeuri zaidi). Utaua wangapi?
waliojaribu kumpindua nyerere mwaka 64 walijaribu tena 74 wakajaribu 82 waliweza ? mawazo hasi sio lazima yafanikiwe
 
Back
Top Bottom