BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Mbona hamjamtetea Nchambi?For whatever reason,mkosoaji ni mkosoaji!
Ana haki zake sawia
Siwezi kua hapa nashabikia pure uonevu kutoka kwa oppressing govt kwa innocent victims
Instead the same govt inatakiwa ilinde haki za wakosoaji hao hao
Sad ni kinyume!
Hii stupid move ya uonevu by this oppressing govt imeichafua na chuki level imeongezeka against it,next level!
Sijui akili mnaweka wapi?
Kazi zenu za kuendesha hii nchi ni kubwa maajabu mnapata muda wa kuonea powerless critics who are doing their job
Mbona hamjamtetea Nchambi?
Aliingia 18 zao labda alitaka kujiunga chademaYule mbunge alokamatwa juzi kati ni wa TLP eeehh?
Ahame nchi aende wapi? Yaani Askari amkimbie civilian. Iyo ni akili? Kuweni makini,unaanzaje kutongoza dem kwenye social media? Umekosa manzi ofisin kwenu, mtaani, kanisani hata bar mpaka ukatongoze mdada wa mtandaoni? Huo ni ushamba uliopitiliza. Nilidhani Mdude ni mwelewa kumbe ana IQ ndogo. Kama n kweli, Basi mwamba hafai hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa.huyo binti kama ana Akili ahame nchi
mkuu unaamini anayetongoza demu mtandaoni ana IQ ndogo ?Ahame nchi aende wapi? Yaani Askari amkimbie civilian. Iyo ni akili? Kuweni makini,unaanzaje kutongoza dem kwenye social media? Umekosa manzi ofisin kwenu, mtaani, kanisani hata bar mpaka ukatongoze mdada wa mtandaoni? Huo ni ushamba uliopitiliza. Nilidhani Mdude ni mwelewa kumbe ana IQ ndogo. Kama n kweli, Basi mwamba hafai hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa.
Kijana huyu amekuwa katika mikono ya watu wasiojulikana mara mbili,ameteswa vilivyo.Huyu hakuwa hata mtu wa kumchukulia seriously kwani ni wazi mateso aliyopitia yalimfanya aathirike kisaikolojia.Mtu huyu alikuwa anatakiwa close monitoring ili asije akafanya jambo baya.Hata hivyo huyu ni binadamu na hatujui mwisho wake utakuwaja lakini ifike mahali tupime kauli zenye athari na zisizo na athari na wenye mamlaka wajifunze kupuuuza.KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE
Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?
Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?
Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?
Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?
Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.
Bai bai 'SUMU YA NYIGU'
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kesi haina mvuto ... saaana naona kesi hii imepata huruma ya jamii huruma ambayo ni sehemu ya mtaji wa upinzani October 2020KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE
Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?
Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?
Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?
Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?
Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.
Bai bai 'SUMU YA NYIGU'
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unaamini anayetongoza demu mtandaoni ana IQ ndogo ?
umejuaje kama mdude ndiye ametongoza je kama ametongozwa ? alafu huyo binti sio TISS ni mdangaji tu ametumiwa bila yeye kujua ametumwa na TISS
😂nimecheka sanaNi mwanafunzi wa chuo flani Arusha.
Dah! inakatisha tamaa na kuogopesha kwa sie tunaopenda kula tunda kimasihara..yani kimasihara unashushiwa mvua ya mawe
😂nimecheka sana
ila binti huyo ni mpuuzi ona sasa ameshaanikwa na watu wanamjua leo nimeona wanapanga wampeleke kwa Muddy achunge sana atafanyiwa mbaya
ila naamini mdude atatoka Mwaka huu maana Meko harudi Ofisini hata tukimpambanisha na Le mutuz
mkuu mimi binafsi huyo binti kanikera sana ni basi tu aiseHahahah aisee....
Ila huyo binti kama ni kweli wazee walimtumia wamlinde bhana, maana wahuni sio watu wazuri.
SUMU ya NYIGU atatoka tu,nani alikwambia Maria Srungi yupo nje ya nchi? Njoo bahari beach umuone kajaa tele!! Mbona Fatma Karume naye yupo TZ? Mdude atatoka kuendeleza MAPAMBANO.KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE
Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?
Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?
Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?
Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?
Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.
Bai bai 'SUMU YA NYIGU'
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mimi binafsi huyo binti kanikera sana ni basi tu aise
Wapenzi wa CCM mna raha sana, unaweza kumkashifu mpinzani na usifanywe chochote.Kwa hiyo wakosoa serikali ni watakatifu hawawezi kuwa wezi,majambazi,wauza unga nk? Wazaa nje ya ndoa kama mbowe na Joyce mukya? Nk
Tatizo ni kichwani! Hajawahi kusoma novel za kijasusi, hajawahi kusoma magazeti ya maana. Akipewa likes JF anatafuta urafiki! Mmmmhh!Ukiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uoe haraka sana ili just in case something happen basi uwe umeacha japo katoto.
Ukiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uachane kabisa na mademu wa mitandaoni au kufanya appointment na watu usiowajua, au uwafanyie thorough assessment kwanza kabla hujakutana nao.
Huyu jamaa kama kweli kashikwa kizembe hivyo atakiwa amewaangusha makamanda wenzie. Utakuwaje mwanaharakati mwenye njaa na papuchi?
Unforgetable
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu angekulaje tunda kimasihara kama angelikuwa nje ya nchi.Alikuwa anafanya Jambo la hatarii sanaa...! Alitakiwa awe nchi za nje huko wakati anafanya hayaa lakini duu kajichanganyaa mzeee...huruma sana atafungwa mpaka mzee baba amalize muda wake
Sent using Jamii Forums mobile app