Mdude CHADEMA umejitakia mwenyewe

Dah!..hiyo ni ajali kazini
 
Hakuna kesi hapo yaani tayari imekua spoiled itabaki ya kisiasa tuu. Atapigwa faini ambayo italipwa na wafuasi. Btw serikali imeshindwa kuleta maendeleo hata sukari imewekeza kwenye ujinga.
 
Chadema kidume. Budget ya kupambana na chadema ninkubwa kuliko budget ya wizara ya viwanda
 
Hivi we na akili na shughuli zako za uant govt unakutanaje na mtu kienyeji na kuruhusu miamala kama hiyo kwenye simu yako.?

Hujui ni hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtamsafisha kwa kila sabuni Ila haitafuta kuwa kakamatwa na madawa ya kulevya tunasubiri tu taarifa rasmi huu msukule ni Teja au Ni pusher+ kifungo Chake

Sent using Jamii Forums mobile app

Na nyinyi muache ushamba! Mnatumia mbinu za kizamani na kitoto sana kuwanyamazisha wale wanao wakosoa. Badala ya kuwatumia wakosoaji wenu kama kioo/vioo vya kujisahihisha, nyinyi mko busy kuwaua, kuwatisha, kuwabambikia kesi, nk

Mnataka kusifiwa tu muda wote hata katika mambo ya hovyo hovyo! Who are you? Mungu mwenyewe tu anakosolewa na kulaumimiwa! Nyinyi mmekuwa zaidi ya Mungu! Au ndiyo ule ushamba na ulimbukeni wa madaraka aliousema Zitto, au ni ile dhana ya udikteta uchwara aliougundua Tundu Lissu?
 
Mm hata ningekajua njama zake halafu kajilengeshe kwangu na kuniambia nichague kuchomoa na kuendelea na uharakati au magereza na kula mzigo wiki mbili nongechagua kumla nikafungwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chikwuemeka,

Sio kweli kuwa huyo binti nfiye alimuwekea madawa mdude issue Ni hivi mdude alikuwa akifanya biashara ya madawa ya kulevya unamtumia pesa kwanza Halafu unaambiwa njoo uchukue mzigo binti wa watu akatuma pesa akaufuata mzigo kumbe polisi walikuwa wakimfuatilia mdude kwa muda mrefu akanaswa binti alikuwa Bado hajafika kuchukua mzigo akauuze Arusha
 
This is beyond ignorance! Siku ukijua umuhimu wa North Korea in bring world civilization utaacha huo mtazamo wa kijinga.
 
Nadhani hakuwa anajua anachokifanya,hakujua maana ya mwanaharakati na misingi yake.......
Tatizo kupenda sana likes za mitandaoni na kujiona mwamba kuwa na marafiki 5,000 wanaondika kwenye page yake,haya kiko wapi?ataenda jela miaka mitano baada ya Magufuli ikiisha huyu atatolewa but muda umeshapotea na ni hatari sana kijana unayetafuta maisha kuwa nje ya uwanja wako kwa muda huo ukirudi hujui utaanzia wapi....utapagawa!!!

Na siyo kwamba wote tunakubaliana na inachokifanya sirikali but lazima mtu uangalie unafanya kitu hatari je kikitokea chochote una backup itakayoweza kuku-push kutoka point A to B,C so on?maana watu kama Mbowe Lema Msigwa nk hawa hata waking'ang'aniwa wanaweza kupambana na wanajulikana huko duniani sasa unakosoa halafu upo hapa hapa na picha unajipiga una-post ukijichekesha huku umeandika shit kuhusu serikali,kama kukosoa hata kama bado upo bongo unajivua uhalisia siyo unakosoa na picha umeweka lazima uumie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usidhani wanawake wote chupi zao zimetoboka kama yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamaana gani tunaposema binti wa watu?. Kama mdude ni muuzaji na binti ni mnunuaji kwanini umwone binti hana kosa mpk kumwita eti binti wa watu!!!
Mbona kwenye kesi mahakamani hatujamwona huyo binti kama mnunuaji. Tuache ujinga.
 
Huyo ni muuza madawa ya kulevya kama alivyo Mbowe wala msisingizie.
 
Huyo ni muuza madawa ya kulevya kama alivyo Mbowe wala msisingizie.
Mdude kazi yaje kupojea mzigo kutokea Zambia na Malawi na Congo na kuupeleka sokoni Arusha kuna mbunge Lema naye Wa kufuatiliwa

Lema na mdude ni Pete na kidole mtakumbuka mdude mwenyewe amewahi tamka kuwa kuna Siku alimsafirisha mdude hadi arusha kwa lengo.la kumpeleka Kenya akaishi huko

Kuna ki drug cartel hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…