Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,834
- 62,164
Mumgu msaidie, lakni kwa hali tuliyonayo hapa kwetu, sijui kama yuko hai. kama international community haitaingilia, basi tutauawa wengi! Lisu nakupa mzigo huo uubebe. Huku nyumbani usije zunguka dunia ukiihimiza iingilie kati katika gross violation of human rights in Tanzania! Likifanikiwa hilo, basi nakuapia you are the next president!Kwa hali hii ya sintofahamu inayoendelea, huyu mtu hadi sasa ni mzima?, Je ameuawa?
Kwa kweli roho yangu inaumia sana yaani imekuwa baridi mno juu ya tukio hili la kutekwa na kutoonekana kwa huyu jamaa!.
What is going on kwa huyu kijana, Je ameuliwa?
STEVIN BIKOKama wamemuua huyu kijana basi wamefanya mistake kubwa mno!. Sidhani kama katika hili wata go away easily!. Hawa watu mikono yao imeloa damu, ni wanyama hawa siyo binadamu kabisa
wakimaliza wanahamia ikuluWhaaaat?
Ina maana Jeshi limegeuka genge la kutesa raia na kuua raia?- I can't believe this, Itakuwa ni aibu ya karne aisee!
Mambo yale yale ya Iddi Amini kuteka na kuua watu!. Jeshi ambalo Amiri Jeshi Mkuu alikuwa ni Kambarage Nyerere lisingethubutu kufanya hayo yanayodaiwa kufanywa!- Kama ni kweli basi tuna nduli wa humu humu ndani!
Kama wamemuua huyu kijana basi wamefanya mistake kubwa mno!. Sidhani kama katika hili wata go away easily!. Hawa watu mikono yao imeloa damu, ni wanyama hawa siyo binadamu kabisa
Kama wamemuua huyu kijana basi wamefanya mistake kubwa mno!. Sidhani kama katika hili wata go away easily!. Hawa watu mikono yao imeloa damu, ni wanyama hawa siyo binadamu kabisa
Bora huyu anaandika kwa fake ID. Mdude alikosea sana kuandika aliyokuwa anaandika kwa kutumia real ID. Huyu hatorudi. Mark my words.
Karma IPO and karma is a bitchBora huyu anaandika kwa fake ID. Mdude alikosea sana kuandika aliyokuwa anaandika kwa kutumia real ID. Huyu hatorudi. Mark my words.
Inasikitisha. Ben ndo alikuwa mhanga wa kwanza,bora yeye hakujua hii serikali ya sasa ni makatili hadi hawaoni shaka kumtoa mhanga yeyote anaewapinga waziwazi.Pia ndugu yetu Ben Saanane.
kwa nini CCM huwa hawatekwi?
Huu ni usemi tu wakati mwingine karma haitokei. Bora kumuita Jiwe kwa ID fake. Kuliko waziwazi kama mdude unless hutojali kupotezwa.Karma IPO and karma is a bitch
..Mdude Nyagali alilishitaki jeshi la Polisi kwa tume ya haki za binaadamu.
..pia alifungua kesi dhidi ya askari waliotesa ambao anawajua kwa majina na force number zao, Igp, na mwanasheria mkuu wa serekali.
..kesi yake imesajiliwa mahakamani na ilitarajiwa itatajwa na kuanza kusikilizwa hivi karibuni.