cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
KIJANA WA KIDOSI BAADA YA KUMALIZA TUITION YA KISWAHILI, ANAJIBU IFUATAVYO:
(1) Mfa maji? tampa life jacket.
(2) Mwenda pole? tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ? mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua? uliza google.com.
(5) Mbio za utelezini? chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga? ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea? iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika? mambie dada ta-deki.
(9) Chelewa chelewa? takosa guo ya sikukuu ..
(10) Kila ndege .....? Hutua Airport
(11) Bandu bandu ....? Rafiki yake Juma
(12) Mtaka cha Mvunguni ....? Binua tanda
(13) Simba mwenda kimya .....? Kama sio gonjwa basi ina njaa
(14) Aisifuye mvua ....? Mkulima
(15) Barabara ndefu ....? Ongeza mwendo, tachelewa fika
(16) Mlanawe hafi nawe ila .....? Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ....? Tapeka jela
(18) Hasira za mkizi ....? Tatafuna veve
19) Mchamba wima ....? Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ....? Kipofu
(21) Mficha maradhi ....?Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ....? Taenda Chadema
23) Bendera ....? Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ....? Sio kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi .? Tapasi mtihani
(26) Penye kuku wengi? ........ Chija bili tatu ivi
(1) Mfa maji? tampa life jacket.
(2) Mwenda pole? tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ? mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua? uliza google.com.
(5) Mbio za utelezini? chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga? ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea? iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika? mambie dada ta-deki.
(9) Chelewa chelewa? takosa guo ya sikukuu ..
(10) Kila ndege .....? Hutua Airport
(11) Bandu bandu ....? Rafiki yake Juma
(12) Mtaka cha Mvunguni ....? Binua tanda
(13) Simba mwenda kimya .....? Kama sio gonjwa basi ina njaa
(14) Aisifuye mvua ....? Mkulima
(15) Barabara ndefu ....? Ongeza mwendo, tachelewa fika
(16) Mlanawe hafi nawe ila .....? Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ....? Tapeka jela
(18) Hasira za mkizi ....? Tatafuna veve
19) Mchamba wima ....? Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ....? Kipofu
(21) Mficha maradhi ....?Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ....? Taenda Chadema
23) Bendera ....? Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ....? Sio kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi .? Tapasi mtihani
(26) Penye kuku wengi? ........ Chija bili tatu ivi