Mdogo wangu kabambikiwa

nendeni mkadai mahari yenu
mi ndo maana siku zote niko against na hii biashara ya mahari sijui kulipiwa mahari mambo yenyewe ndo kama hayo Fidel. Kaidaini hela yenu

zaa wako umuozeshe bure
 
Huyu duu chai tuu tena wala hampendi dogo wako yaaani angebugi ambonjoroke naye ilikuwa ntolee huyo kid angeambiwa wake..niamini mimi
 
Wapwazi na maguest members nina mdogo wangu mchunga kondoo alipata kifaa alipo kuwa katika harakati za kurudisha kondoo kundini huko Songea na wakaahidiana wataoana. Toka ampate yule binti ilipita miaka kama 2 kisha dogo akaja kwetu kutueleza nia yake hiyo thabiti nasi tukamuunga mkono akaenda Song kuonekana kwa wakwe wakataka mahali laki 5 basi sisi tukajipanga na kuchangishana fedha dogo akaenda kumaliza.
Baada ya taratibu kukamilika dogo akamleta Dar yule binti na ikumbukwe dogo hajawahi mega alikuwa anasisitiza anataka harusi aje ajizindulie yeye mwenyewe. Sasa alipo kuja nae Dar katika harakati za kutambulisha kwa ndugu, jamaa na marafiki wale wenye macho makali kama renzi wakabaini yule binti mjamzito, ikabidi wamwite dogo na kumueleza dogo akawa ana bisha akasema mbona sijawahi mega! wakamshauri aende hospital wakampime lakini dogo hapo hapo aliingia na wasiwasi tokea afike yule binti alikuwa anataka wawe wanalala wote ili dogo amege lakini msimamo wa dogo ulikuwa mkali maana ameiva katika neno basi binti akawa ana lala na ndugu wengine huku yeye akiwa peke yake. Walivyo pima ikabainika binti ana mimba ya miezi 3 dogo alichanganyikiwa sana.
Msaada kwenu wapwazi zile pesa tulizo toa kule 500,000/= tufanyaje kilicho enda kwa mganga kinaweza rudi kweli? maana wakati wanachumbiana alipo tajiwa kiasi kikubwa cha pesa hicho watu tulishtuka tulimshauri sana hakushaurika tukawa hatuna jinsi ni kuchangishana tu.
Ni nn kifanyike wakuu msaada kwenye tuta.

Hehehehehehe dunia bana duuu
 
No dis intended, lakini hayo ndiyo madhara ya kuwa deep kwenye neno bila street smarts.

Having said that, namu admire dogo wako sana kwani ni watu wachache sana wanaoweza kuwa na msimamo thabiti kama huo. Na sasa on the flipside msimamo wake huo umemsaidia, kwani angekuwa na mapepe ya kumega angebambikiwa kitu si chake.

Upande wa bibie, huyu wala si wifey material kabisa, kwani alifanya kuseebuka wakati yuko na mkali.

Kuhusu mahari hiyo mbona kiafrika afrika inadaiwa kabisa, tena in full kwa sababu mkali hajaoa wala kumega, na sababu ni kubwa tu.Tena kama familia ya demu inajiheshimu ikipewa issue itataka kuwarudishia mara moja ili kusiwe na soo wala nini.Tena muwahi msije kuchelewa mkakuta zishalipiwa ada za shule na kununulia pembejeo etc, wengine wanataka kumalizia matatizo yao yote kwenye mahari.

Nini huyu ambaye hajaolewa wala kuguswa, viwanja vya kati hapo watu wanaoa, wanamega, wanapiga, wanafukuza halafu wanadai mahari. Kinda primitive and all and it's not like I'm advocating lakini naonyesha jinsi gani kesi ya huyu mkali kama ilivyoletwa hapa ilivyo ya kistaarabu ukiilinganisha na washashi wengine wanaodai mahari.

Briliant
 
Back
Top Bottom