MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Kama kichwa Cha habari kinavyo sema,
Mdogo wake na Jose chamilion ambae anafahamika kwa jina la Pallaso alimanusura auawe huko SA aliko kuwa akifanya video yake ya wimbo uitwao BAKOMELERWE(Wasurubiwe)
Taarifa zinasema kwamba kijana huyu yuko mahututi huko SA,
Kisa Cha kushambuliwa na watu ni baada ya kusikika akiongea lugha ambayo sio ya SA hivyo wakajua ni mtu wa nje ambae ameleta madawa ya kulevya nchini mwao.
Video yake hi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wake na Jose chamilion ambae anafahamika kwa jina la Pallaso alimanusura auawe huko SA aliko kuwa akifanya video yake ya wimbo uitwao BAKOMELERWE(Wasurubiwe)
Taarifa zinasema kwamba kijana huyu yuko mahututi huko SA,
Kisa Cha kushambuliwa na watu ni baada ya kusikika akiongea lugha ambayo sio ya SA hivyo wakajua ni mtu wa nje ambae ameleta madawa ya kulevya nchini mwao.
Video yake hi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app