Mdogo wa Ex wangu simuelewi!!

Mdogo wa Ex wangu simuelewi!!

Mimi na Ex wangu tuliachana kwa amani baada ya yeye kucheat akazama huko huko na hatimaye akaolewa(ingawa hana furaha na ndoa yake anatamani tuendelee, nikajikaza kiume nikamkanya akapunguza munkari).

Sasa huyu ex ana mdogo wake fulani wanafuatana, nae ni kisu kama dada ake, alianza figisu figisu baada ya kujua nmetemana na dada ake, mwanzoni nilijua ni utoto coz nimekazidi sana umri! Sasa speed imezidi, calls usiseme, kubeep beep ndo balaa!

Nkiamka tu nakuta sms zake mpaka nkahisi ni mtego labda dada ake anakatuma ili ajisafishe nafsi yake kwa jambo alonitendea, basi nkafanya mpango nkanasa whatsapp yake kwa kutumia 'whatsapp Web'.

Nkaanza kutembelea texts zake, nakuta akichat na dada yake ni salamu tu, labda na kumuomba pesa na kumpa habari za nyumbani baaasiii

Hapo nkaona kuwa amedhamiria, ubaya kama nlivosema dada mtu hana habari na lolote kwa mujibu wa whatsapp yake, pia katika conversation zake zote nmeona akichat mapenzi na kitoto chenzake ambapo naona hamna kitu kabisaaaa!!!

Sasa wakuu sijatoa hii thread kuomba ushauri ila kuomba kujulishwa kuwa kwa suala kama hili nikiamua kunyoosha goti kuna uvunjifu wa maadili? Au ambaye limemkuta jambo kama hili anisaidie majibu!!
Usifanye hivyo,hata kama huyo Ex wako alikuuma kiasi gani kwa kukuacha usifanye unyama huo! Maana unaweza ukaja ukasababisha maafa makubwa katika familia yao kwa sababu Dada mtu akijua atamchukia sana mdogo wake na kwa nini usababishe wafikie huko? Je wewe utapata faida gani labda? hebu kabla hujafanya jambo lolote fikiria mara 2 kama hicho kitendo watafanyiwa Dada zako je utakifurahia?
Kama sivyo, basi mweleze tu huyo shemeji yako kwamba mazoea yawe na kikomo chake, akupe heshima yako
 
Usifanye hivyo,hata kama huyo Ex wako alikuuma kiasi gani kwa kukuacha usifanye unyama huo! Maana unaweza ukaja ukasababisha maafa makubwa katika familia yao kwa sababu Dada mtu akijua atamchukia sana mdogo wake na kwa nini usababishe wafikie huko? Je wewe utapata faida gani labda? hebu kabla hujafanya jambo lolote fikiria mara 2 kama hicho kitendo watafanyiwa Dada zako je utakifurahia?
Kama sivyo, basi mweleze tu huyo shemeji yako kwamba mazoea yawe na kikomo chake, akupe heshima yako
Hataki ushauri mkuu
 
Bikr* kama hizo cyo za kuacha nyoosha tu...
Tutakuletea ugali maharagwe segerea
 
Mimi na Ex wangu tuliachana kwa amani baada ya yeye kucheat akazama huko huko na hatimaye akaolewa(ingawa hana furaha na ndoa yake anatamani tuendelee, nikajikaza kiume nikamkanya akapunguza munkari).

Sasa huyu ex ana mdogo wake fulani wanafuatana, nae ni kisu kama dada ake, alianza figisu figisu baada ya kujua nmetemana na dada ake, mwanzoni nilijua ni utoto coz nimekazidi sana umri! Sasa speed imezidi, calls usiseme, kubeep beep ndo balaa!

Nkiamka tu nakuta sms zake mpaka nkahisi ni mtego labda dada ake anakatuma ili ajisafishe nafsi yake kwa jambo alonitendea, basi nkafanya mpango nkanasa whatsapp yake kwa kutumia 'whatsapp Web'.

Nkaanza kutembelea texts zake, nakuta akichat na dada yake ni salamu tu, labda na kumuomba pesa na kumpa habari za nyumbani baaasiii

Hapo nkaona kuwa amedhamiria, ubaya kama nlivosema dada mtu hana habari na lolote kwa mujibu wa whatsapp yake, pia katika conversation zake zote nmeona akichat mapenzi na kitoto chenzake ambapo naona hamna kitu kabisaaaa!!!

Sasa wakuu sijatoa hii thread kuomba ushauri ila kuomba kujulishwa kuwa kwa suala kama hili nikiamua kunyoosha goti kuna uvunjifu wa maadili? Au ambaye limemkuta jambo kama hili anisaidie majibu!!

Acha ujinga mtafune
 
Kulingana na maandiko, Yakobo alimuoa Recho na Dada ake (Rebecca) kwa pamoja... So kama kwa yule mtumishi haikuwa na shida, sidhani kama na kwako itakuwa na shida.
 
Kama unadhani una uhuru wa hadi kutembea na shemeji yako..watch out..not to that extent..kila uhuru una mipaka yake
 
Yani ningekula mana Katiba inaruhusu mtu mukiachana kuwa na mwingine Matapishi Hayalambwi
 
Bahat kama hizi sjui kwann huwa hazinikuti mimi??!!
Hata ushauri nisingeomba
 
Mimi na Ex wangu tuliachana kwa amani baada ya yeye kucheat akazama huko huko na hatimaye akaolewa(ingawa hana furaha na ndoa yake anatamani tuendelee, nikajikaza kiume nikamkanya akapunguza munkari).

Sasa huyu ex ana mdogo wake fulani wanafuatana, nae ni kisu kama dada ake, alianza figisu figisu baada ya kujua nmetemana na dada ake, mwanzoni nilijua ni utoto coz nimekazidi sana umri! Sasa speed imezidi, calls usiseme, kubeep beep ndo balaa!

Nkiamka tu nakuta sms zake mpaka nkahisi ni mtego labda dada ake anakatuma ili ajisafishe nafsi yake kwa jambo alonitendea, basi nkafanya mpango nkanasa whatsapp yake kwa kutumia 'whatsapp Web'.

Nkaanza kutembelea texts zake, nakuta akichat na dada yake ni salamu tu, labda na kumuomba pesa na kumpa habari za nyumbani baaasiii

Hapo nkaona kuwa amedhamiria, ubaya kama nlivosema dada mtu hana habari na lolote kwa mujibu wa whatsapp yake, pia katika conversation zake zote nmeona akichat mapenzi na kitoto chenzake ambapo naona hamna kitu kabisaaaa!!!

Sasa wakuu sijatoa hii thread kuomba ushauri ila kuomba kujulishwa kuwa kwa suala kama hili nikiamua kunyoosha goti kuna uvunjifu wa maadili? Au ambaye limemkuta jambo kama hili anisaidie majibu!!


Nipe namba yake nimsalimie, huyo anakuchezea akili tu wewe maana alishakuzoea tayari.
 
Mtombe tui maana hakuna namna maisha haya ...pia hayana formular
 
Back
Top Bottom