Mdhamini wa waasi wa ADF

Mdhamini wa waasi wa ADF

JustDoItNow

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,967
Reaction score
1,513
Habari zenu wakuu. Nimekuwa nikifatilia sana kuhusu hawa jamaa wanaojiita waasi wa ADF. Nimeshindwa kupata jibu ni nani anawafadhili kipesa na siraha. Kama Museveni ni adui wao, Rwanda ni adui wao, Congo ni adui wao na hata Tanzania ndo wametufanyia mbaya. Je, ni nani yuko nyuma yao? haiwezekani wakawa wana survive porini na wakati wamezungukwa na maadui kila kona. kuna mambo yaliyojificha na hatuyajui.
 
Kwakifupi Mimi sitaki kufahamu nani anawadhamini nachojihuliza Mimi kwanini hawa waasi wawashambulie hawa wanajeshi ambao awana hatia hivyo bila shaka kunajambo waasi walifanyiwa na hivyo nao wameamuwa kulipiza .maana baadhi ya wanajeshi wanao toka nchi masikini wakienda nchi Fulani kulinda amani nao wanakuwa wanajiongeza .
 
Kwakifupi Mimi sitaki kufahamu nani anawadhamini nachojihuliza Mimi kwanini hawa waasi wawashambulie hawa wanajeshi ambao awana hatia hivyo bila shaka kunajambo waasi walifanyiwa na hivyo nao wameamuwa kulipiza .maana baadhi ya wanajeshi wanao toka nchi masikini wakienda nchi Fulani kulinda amani nao wanakuwa wanajiongeza .
Adui mkubwa wa mwizi ni Mlinzi.
Atamtafta kwa njia yoyote amshambulie kisha lindo liwe wazi
 
Duh hawa waaasi kuna viongozi ukanda huu wa maziwa makuu kwa kushirikiana na wazungu ndiyo wadhamin wao
 
Lazima mmoja asiambiwe ili mambo yaende fresh maana akiambiwa atasema nina uchungu sana
 
Back
Top Bottom