Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,705
- 4,739
Kwahiyo mwenye diploma hawezi kuongoza?
Mkuu una diploma ya nini? Hongera
Kwahiyo mwenye diploma hawezi kuongoza?
Ame 🙏mungu akusaidie mkuu naukawe connection yangu apo baadae@lazima ukae
Umepatia Sana, umejuaje?MDH wazee wa good morning sir good morning madam
Kivipi?MDH wazee wa good morning sir good morning madam
Laki 3 kwa mweziHivi malipo ya hawa MDH yapoje
Ko kikawaida mkuu huwa inachukua muda gani tokea interview hadi kuitwa kaziniMDH Kuna urasimu mwingi Sana Kama hauna connection ujue hola,. Nipo MDH nawajua Sana these guys