lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 789
- 384
- Thread starter
- #21
Exactly 💯Mkuu mtoa mada, naomba chukua tafakuri ya statement hii.. then akili za kuambiwa changanya na zako
"It doesnt matter what you know, but who you know"
Asante
Exactly 💯Mkuu mtoa mada, naomba chukua tafakuri ya statement hii.. then akili za kuambiwa changanya na zako
"It doesnt matter what you know, but who you know"
Asante
Katika Interview za kuandika au practical siku zote mpaka unatoka kwenye chumba cha mtihani unakua ushajua kama kuna uwezekano wa kufaulu au la.Ukichaguliwa wewe hapo hakuna upendeleo ila ukiachwa tu; kuna upendeleo. Huo tunaita ubinafsi
Hii ni kweli top management vimejaa vidada tena vingi vina diploma tuMDH Kuna uchaga mwingi Sana pale... Wafnykaz wengi wanawake
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mwenye diploma hawezi kuongoza?Hii ni kweli top management vimejaa vidada tena vingi vina diploma tu
Mungu wetu soteDogo kazi pekee ambayo unaweza kuitwa ni ya mshahara wa Tsh.200,000 tu! Hizo za 1.5m au zaidi usipoteze muda wako. lazima ukae
Ndo aongoze wanaomzidi elimu, uzoefu na uwezo wa kazi?Kwahiyo mwenye diploma hawezi kuongoza?
Una uzoefu wakati unatafuta kazi! Unajifanya much know weweKatika Interview za kuandika au practical siku zote mpaka unatoka kwenye chumba cha mtihani unakua ushajua kama kuna uwezekano wa kufaulu au la.
Ningekua sina uhakika wa kufaulu wala usingeniona kuja kuanzisha uzi hapa.
Mkuu saiv bila connection kutoboa unaweza Ila kwa percentage ndogo, wewe unashangaa unakomaa na interview na autoboi ila mwngne anaitwa tuu kwenye semina elekezi na kusaini mkataba bila ata kushiriki kwenye interview.MDH Kuna urasimu mwingi Sana Kama hauna connection ujue hola,. Nipo MDH nawajua Sana these guys
Jifunze kwanza kuandikaUna uzoefu wakati unatafuta kazi! Unajifanya much know wewe
RubbishJifunze kwanza kuandika
Nashukuru kwa kutambua kwamba ulichokiandika ni rubbish 😂😂😂Rubbish
Kweli ndugu,nakumbuka tulifanya interview October ila tulikuja itwa december ya mwaka huo huo (miez miwil baadae),Kikubwa ili usiwe na stress its better ukawa na kijishughul chochote cha kukuingizia mia mbil mia tatu otherwise utaona kama wanakuchelewesha na utaanza kuwawazia mabayaKibongo bongo waajiri wengi ni waongo..unapiga interview au kutuma maombi wanakuambia subiri majibu ndani ya wiki mbili lakini majibu unaweza kupata baada hata ya mwezi huko..kwaio mkuu kuwa mvumilivu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kazi ni ya MDH na hauna koneksheni ishakula kwako
MDH Kuna urasimu mwingi Sana Kama hauna connection ujue hola,. Nipo MDH nawajua Sana these guys