MDH kimyaaa au mshawekana kindugu

lazima ukae

JF-Expert Member
May 15, 2013
785
360
Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahiyo hiki ni kipimo tosha kwangu kujua kama kweli huwa wanaajiri yeyote aliefaulu mtihani au wanaendesha zile interview kama formality wakati tayari washaandaa watu wao wa kuwaajiri.

Mana kila ninaemuuliza ambae nilifanya nae usaili nae anasema bado hajasikia tetesi zozote kama washaita watu kwaajiri ya Oral Interview au la.

Kuna yeyote humu ambae alifanya ule mtihani siku ya jmosi ? Kama yupo na ana update zozote tafadhali tunaomba atujuze

Sio lazima waniite mimi hata kama nimefaulu ila ni kitu kizuri kujua kwamba mchakato flani ushafanyika ili tupunguze matarajio hata kama wameshaita watu wengine
 
Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahiyo hiki ni kipimo tosha kwangu kujua kama kweli huwa wanaajiri yeyote aliefaulu mtihani au wanaendesha zile interview kama formality wakati tayari washaandaa watu wao wa kuwaajiri.

Mana kila ninaemuuliza ambae nilifanya nae usaili nae anasema bado hajasikia tetesi zozote kama washaita watu kwaajiri ya Oral Interview au la.

Kuna yeyote humu ambae alifanya ule mtihani siku ya jmosi ? Kama yupo na ana update zozote tafadhali tunaomba atujuze

Sio lazima waniite mimi hata kama nimefaulu ila ni kitu kizuri kujua kwamba mchakato flani ushafanyika ili tupunguze matarajio hata kama wameshaita watu wengine
Kibongo bongo waajiri wengi ni waongo..unapiga interview au kutuma maombi wanakuambia subiri majibu ndani ya wiki mbili lakini majibu unaweza kupata baada hata ya mwezi huko..kwaio mkuu kuwa mvumilivu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahiyo hiki ni kipimo tosha kwangu kujua kama kweli huwa wanaajiri yeyote aliefaulu mtihani au wanaendesha zile interview kama formality wakati tayari washaandaa watu wao wa kuwaajiri.

Mana kila ninaemuuliza ambae nilifanya nae usaili nae anasema bado hajasikia tetesi zozote kama washaita watu kwaajiri ya Oral Interview au la.

Kuna yeyote humu ambae alifanya ule mtihani siku ya jmosi ? Kama yupo na ana update zozote tafadhali tunaomba atujuze

Sio lazima waniite mimi hata kama nimefaulu ila ni kitu kizuri kujua kwamba mchakato flani ushafanyika ili tupunguze matarajio hata kama wameshaita watu wengine
Dah pole kweli lazima ukae 😎
 
Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahiyo hiki ni kipimo tosha kwangu kujua kama kweli huwa wanaajiri yeyote aliefaulu mtihani au wanaendesha zile interview kama formality wakati tayari washaandaa watu wao wa kuwaajiri.

Mana kila ninaemuuliza ambae nilifanya nae usaili nae anasema bado hajasikia tetesi zozote kama washaita watu kwaajiri ya Oral Interview au la.

Kuna yeyote humu ambae alifanya ule mtihani siku ya jmosi ? Kama yupo na ana update zozote tafadhali tunaomba atujuze

Sio lazima waniite mimi hata kama nimefaulu ila ni kitu kizuri kujua kwamba mchakato flani ushafanyika ili tupunguze matarajio hata kama wameshaita watu wengine
Dogo kazi pekee ambayo unaweza kuitwa ni ya mshahara wa Tsh.200,000 tu! Hizo za 1.5m au zaidi usipoteze muda wako. lazima ukae
 
Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahiyo hiki ni kipimo tosha kwangu kujua kama kweli huwa wanaajiri yeyote aliefaulu mtihani au wanaendesha zile interview kama formality wakati tayari washaandaa watu wao wa kuwaajiri.

Mana kila ninaemuuliza ambae nilifanya nae usaili nae anasema bado hajasikia tetesi zozote kama washaita watu kwaajiri ya Oral Interview au la.

Kuna yeyote humu ambae alifanya ule mtihani siku ya jmosi ? Kama yupo na ana update zozote tafadhali tunaomba atujuze

Sio lazima waniite mimi hata kama nimefaulu ila ni kitu kizuri kujua kwamba mchakato flani ushafanyika ili tupunguze matarajio hata kama wameshaita watu wengine

Mkuu, utaratibu wa kuitwa kwenye interview ulikuwa walitoa list ya majina ya shortlisted wote kiongozi...?
 
Mkuu undugu ni kufaana na sio kufanana.Una mtandao huko MDH?Wewe mwenyewe una mtandao wako binafsi?
 
Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahii kipim

Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahiyo hiki ni kipimo tosha kwangu kujua kama kweli huwa wanaajiri yeyote aliefaulu mtihani au wanaendesha zile interview kama formality wakati tayari washaandaa watu wao wa kuwaajiri.

Mana kila ninaemuuliza ambae nilifanya nae usaili nae anasema bado hajasikia tetesi zozote kama washaita watu kwaajiri ya Oral Interview au la.

Kuna yeyote humu ambae alifanya ule mtihani siku ya jmosi ? Kama yupo na ana update zozote tafadhali tunaomba atujuze

Sio lazima waniite mimi hata kama nimefaulu ila ni kitu kizuri kujua kwamba mchakato flani ushafanyika ili tupunguze matarajio hata kama wameshaita watu wengine
Oral itakuwa jumatatu mtaalam
 
Nakumbuka tulifanya Interview ya kuandika jmosi iliyopita na wakatuhaidi kwamba jumaatatu watapigia waliofaulu kwenda kwenye Oral Interview lakini mpaka sasa hatuelewi kama washaitana kindugu au mchakato bado kweli.

Katika ule usaili mpaka natoka kwenye chumba cha mtihani nilikua na uhakika wa kufaulu kwa asilimia 95% kwahiyo hiki ni kipimo tosha kwangu kujua kama kweli huwa wanaajiri yeyote aliefaulu mtihani au wanaendesha zile interview kama formality wakati tayari washaandaa watu wao wa kuwaajiri.

Mana kila ninaemuuliza ambae nilifanya nae usaili nae anasema bado hajasikia tetesi zozote kama washaita watu kwaajiri ya Oral Interview au la.

Kuna yeyote humu ambae alifanya ule mtihani siku ya jmosi ? Kama yupo na ana update zozote tafadhali tunaomba atujuze

Sio lazima waniite mimi hata kama nimefaulu ila ni kitu kizuri kujua kwamba mchakato flani ushafanyika ili tupunguze matarajio hata kama wameshaita watu wengine
Ukichaguliwa wewe hapo hakuna upendeleo ila ukiachwa tu; kuna upendeleo. Huo tunaita ubinafsi
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom