Mdau haamini kilichotokea, amekata tamaa.

Mdau haamini kilichotokea, amekata tamaa.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,662
Mzalendo huyu aliamua kusimamisha shughuli zake ili ashuhudie historia nyingine ikiandikwa na wabunge wake.

Loo! hakuamini macho wala masikio yake hasa walipozungumza wale wabunge wa viti maalumu kutoka chama pendwa.

Mbaya zaidi mdau huyu aliingia gharama ya ziada ya kununua petroli na kukodi jenereta kwani umeme ulikuwa unakatika mara kwa mara tangu kuanza kwa mjadala maarufu wa escrow.

10410838_1490196147929910_1062049286212863682_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom