MDAU AMSHUKIA JUMLA JUMLA KARAMAGI

MDAU AMSHUKIA JUMLA JUMLA KARAMAGI

Nkarahacha

Member
Joined
Oct 3, 2023
Posts
25
Reaction score
47
MDAU
Mimi kama mwana chama wa ccm na kiongozi mwakilishi wa uvccm ngazi ya wilaya Bukoba vijijini ,

Natoa Rahi kwa Ndg KARAMAGI kuwa tabia zake za kuvuruga Jimbo letu la Bukoba vijijini tumezichoka na zimekuwa za muda mrefu, anaunda vikosi vya kutukana viongozi wetu wa serikali na chama, kubeza juhudi na miradi mikubwa inyofanywa na viongozi kama Rais na Mbunge, Tunaomba asimame atwambie pindi yeye Yuko Mbunge alibezwa na nani ? Na kipi alichokifanya zaidi mpaka Sasa hivi aseme aoni kilichofanyika?


Kubeba mgombea na kufikia hatua ya kumfadhili pesa na kufanyisha vikao vya kuchangia pesa za kuonga kwenye wajumbe hili kumwondoa kiongozi aliepo Dkt Rweikiza kwa masirahi yake binafsi
Kukimbilia TAKUKURU kutoa taarifa za uongo hili kuchafua jina la Dkt Rweikiza .


Yote haya yanafanyika tunayajua na kuyaona
Nakuomba sana M/kiti Ccm mkoa Kagera Ndg KARAMAGI Fanya majukum Yako sio kubeba Mgombea na huku unajifanya kuwa msafi,
Sisi wa Tz Bado tunaikumbuka sana kashifa Yako ya RICHMOND tulisimama sana kukutetea na kukuombea wewe kama mwana Bukoba vijijini tukizani hipo siku utakuwa msaada wa Jimbo letu la Bukoba vijijini kama mzawa na kutuletea maendeleo Sasa hv imekuwa tofauti umekuwa mtu wa kuchonganisha na kutuweka makundi na kuwa kikwazo kikubwa sana katika ufanisi wa viongozi wetu.

Ndg KARAMAGI badilika haraka iwezekanavyo Wana Bukoba vijijini tumesha kujua dhamira Yako🙏🙏🙏
 

Attachments

  • Screenshot_2025_0723_115016.png
    Screenshot_2025_0723_115016.png
    651.4 KB · Views: 13
Alisaini mikataba ya hovyo sana ya kuruhusu uchimbaji wa dhahabu. Mikataba ile ikawa siri na wana Bukoba vijijini mliendelea kumchagua.
 
Wafu na wakazike wafu wenzao. Kwahiyo unataka kusema wewe hukijui vyema chama chako na desturi yake? Maana sie unaojaribu kutusimulia kumbe mbona wala hatushangai mdau.

Huko chamani kwenu hayo unayoyasema ndo vile vile mmekuwa mnasemwa na wapinzani wenu kwenye chaguzi na ndio msingi wa kudai katiba "no reforms no election".

Sisi watanzania tuwaambie na mtuelewe vyema kabisa, kashifa zenu hizo hatutaki kuambiwa sie, malizeni nyinyi kwa nyinyi kwasababu haya mambo nyie ndo waanzilishi na huwa mnafurahi sana mnapowafanyia wenzenu wapinzani ...na mara hii kazi mnayo kadadaaaake.🤣🤣🤣🖐️🖐️
 
MDAU
Mimi kama mwana chama wa ccm na kiongozi mwakilishi wa uvccm ngazi ya wilaya Bukoba vijijini ,

Natoa Rahi kwa Ndg KARAMAGI kuwa tabia zake za kuvuruga Jimbo letu la Bukoba vijijini tumezichoka na zimekuwa za muda mrefu, anaunda vikosi vya kutukana viongozi wetu wa serikali na chama, kubeza juhudi na miradi mikubwa inyofanywa na viongozi kama Rais na Mbunge, Tunaomba asimame atwambie pindi yeye Yuko Mbunge alibezwa na nani ? Na kipi alichokifanya zaidi mpaka Sasa hivi aseme aoni kilichofanyika?


Kubeba mgombea na kufikia hatua ya kumfadhili pesa na kufanyisha vikao vya kuchangia pesa za kuonga kwenye wajumbe hili kumwondoa kiongozi aliepo Dkt Rweikiza kwa masirahi yake binafsi
Kukimbilia TAKUKURU kutoa taarifa za uongo hili kuchafua jina la Dkt Rweikiza .


Yote haya yanafanyika tunayajua na kuyaona
Nakuomba sana M/kiti Ccm mkoa Kagera Ndg KARAMAGI Fanya majukum Yako sio kubeba Mgombea na huku unajifanya kuwa msafi,
Sisi wa Tz Bado tunaikumbuka sana kashifa Yako ya RICHMOND tulisimama sana kukutetea na kukuombea wewe kama mwana Bukoba vijijini tukizani hipo siku utakuwa msaada wa Jimbo letu la Bukoba vijijini kama mzawa na kutuletea maendeleo Sasa hv imekuwa tofauti umekuwa mtu wa kuchonganisha na kutuweka makundi na kuwa kikwazo kikubwa sana katika ufanisi wa viongozi wetu.

Ndg KARAMAGI badilika haraka iwezekanavyo Wana Bukoba vijijini tumesha kujua dhamira Yako🙏🙏🙏
Udoctor Rweikiza kautoa wapi na kaupata lini?
 
Hayo mambo yenu ya ubabaishaji mliozoea kuwafanyia wapinzani sasa imewageuka ndo mnaparamiana. Malizaneni na asibakie hata mmoja, na sie huku ndo maana tunadai katiba mpya maana huo ushenzi wenu hatutaki na tumechoka
 
MDAU
Mimi kama mwana chama wa ccm na kiongozi mwakilishi wa uvccm ngazi ya wilaya Bukoba vijijini ,

Natoa Rahi kwa Ndg KARAMAGI kuwa tabia zake za kuvuruga Jimbo letu la Bukoba vijijini tumezichoka na zimekuwa za muda mrefu, anaunda vikosi vya kutukana viongozi wetu wa serikali na chama, kubeza juhudi na miradi mikubwa inyofanywa na viongozi kama Rais na Mbunge, Tunaomba asimame atwambie pindi yeye Yuko Mbunge alibezwa na nani ? Na kipi alichokifanya zaidi mpaka Sasa hivi aseme aoni kilichofanyika?


Kubeba mgombea na kufikia hatua ya kumfadhili pesa na kufanyisha vikao vya kuchangia pesa za kuonga kwenye wajumbe hili kumwondoa kiongozi aliepo Dkt Rweikiza kwa masirahi yake binafsi
Kukimbilia TAKUKURU kutoa taarifa za uongo hili kuchafua jina la Dkt Rweikiza .


Yote haya yanafanyika tunayajua na kuyaona
Nakuomba sana M/kiti Ccm mkoa Kagera Ndg KARAMAGI Fanya majukum Yako sio kubeba Mgombea na huku unajifanya kuwa msafi,
Sisi wa Tz Bado tunaikumbuka sana kashifa Yako ya RICHMOND tulisimama sana kukutetea na kukuombea wewe kama mwana Bukoba vijijini tukizani hipo siku utakuwa msaada wa Jimbo letu la Bukoba vijijini kama mzawa na kutuletea maendeleo Sasa hv imekuwa tofauti umekuwa mtu wa kuchonganisha na kutuweka makundi na kuwa kikwazo kikubwa sana katika ufanisi wa viongozi wetu.

Ndg KARAMAGI badilika haraka iwezekanavyo Wana Bukoba vijijini tumesha kujua dhamira Yako🙏🙏🙏
Muulize mstaasfu na malkia kama hawayafanyi hayohayo
 
Back
Top Bottom