Mdahalo wa leo...!

To be TRUSTED is better than to be LOVED.

  • Strongly Agree

    Votes: 32 86.5%
  • Strongly Disagree

    Votes: 5 13.5%

  • Total voters
    37
Mbu kama haumuamini haumpendi huo ndo ukweli!

...hapana bana, kupenda na kuamini ni vitu viwili tofauti...

unaweza kupenda bila kufahamiana na mtu...say, umekutana na mlimbwende roho ikafanya "paaa...!"
~miguu ikaishiwa nguvu,~ fahamu zikakuruka, umepatwa na matamanio ya mapenzi huyo awe wako...-love at 1st sight-

Lakini je, kwakuwa ni love at 1st sight...tayari ushamuamini? Au ndio potelea mbali, TRUST na mengineyo yatakuja
yenyewe huko mbele ya safari?
 
naam, naaam bro....

ila pale kwenye kutongoza, tunatanguliza kwanza LOVE au sio?....tukishapata kitu roho inapenda,
na tukijiridhisha nacho, ndio utaona juhudi za makusudi zinafanyika kujenga TRUST.

mdahalo huu ndio ume base hapo, maana wengi wetu tunajiingiza kwenye mapenzi bila kuzingatia
hiki kitu TRUST, kwa matarajio ya kujiaminisha "labda"
- nikishamvisha pete atatulia,
- asipotulia nitamuoa nimuweke kwangu,
- asipotulia nitamzalisha mtoto chap chap,...
- kama bado hatulii, nampachika nyimba ya pili kabla hajaacha kunyonyesha...etc etc...

unaona tunapokosea? likewise kwa wanawake,...kwakuwa anakupenda lakini hakuamini,
- anategea na kujibebesha mimba kwa kujua utake usitake utabeba jukumu la familia...
nk, nk....

kinachogomba hapa ni TRUST iliyodharauliwa awali, ....na wagombanapo mafahari wawili, ziumiazo ni nyasi..
aka watoto ambao ni kizazi kitacho crave TRUST na LOVE.

...au nyie mwaonaje?

Mkuu Mbu ni kweli kwamba mara nyingi tunapofall in love tunakuwa hatujamfahamu mhusika kiasi cha kumuamini. Kwa hiyo mapenzi huanza kabla ya kuwepo kuaminiana. Mapenzi kadri yanaposhamiri na kumfahamu mhusika kwa karibu na tabia zake na marafiki zake taratibu tunaanza kujenga trust kwa mhusika na hivyo hapo mapenzi ndio huenda sambamba na kuaminiana.

Nadhani umeshasikia hii kauli, "Nampenda sana yule binti/njemba lakini sijamfahamu kwa karibu hivyo simuamini." Hata wengine baada ya kupima umeme na kukuta wote wako safi utakuta wengi protection ni kama kazi mpaka pale watapokuwa na imani ya kutosha juu ya mpenzi ndio wanaweza kuamua kuachana na protection ili kucheza peku peku.

Halafu hii ya Mwanamke kuamua kubeba mimba baada ya kukuamini mimi sikubaliani nayo kabisa, lakini ndio wakati tulionao.

Halafu hii kitu ya kuambiana, "I trust you" rather that "I love you" I am not sure what percentage of love birds would prefer to hear "I trust you" as compared to "I love you." Both words are very powerful, but when it comes to love I would prefer to hear/say more of I love you rather than I trust you.

 
Last edited by a moderator:
Which is more important? Being trusted or being 100 percent faithful?

Mind you, trust and faithful are not one and the same.

Well it's important to be trusted even when you are not faithful...but it might not be as important to be faithful even when you are not being trusted!!lolzzz

Newayz....it dependends.
If you are all about pleasing yourself it's much more important to be faithful...for your own sake and the pleasure of knowing YOU ARE FAITHFUL even though others might think/believe otherwise. While being trusted is based more on what others will think...what others will be willing to give you...others...others...others etc.
 
Kwangu mimi trust is waaaaaaay more important.
I wouldn't let a person I don't trust be a part of my life let alone love 'em and stay inlove.
 
Mbu kama haumuamini haumpendi huo ndo ukweli!

Elyer, nina mtazamo tofauti na huu wako. Ina maana wale ambao hawawaamini spourses wao (tena kwa vithibitisho) hawawapendi?

Hapana nadhani unawezampenda mtu ingawa humtrust lakini nadhani pioa unawezamtrust mtu usimpende au?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Elyer, nina mtazamo tofauti na huu wako. Ina maana wale ambao hawawaamini spourses wao (tena kwa vithibitisho) hawawapendi?

Hapana nadhani unawezampenda mtu ingawa humtrust lakini nadhani pioa unawezamtrust mtu usimpende au?

Ni spouses.
 
Elyer, nina mtazamo tofauti na huu wako. Ina maana wale ambao hawawaamini spourses wao (tena kwa vithibitisho) hawawapendi?

Hapana nadhani unawezampenda mtu ingawa humtrust lakini nadhani pioa unawezamtrust mtu usimpende au?

MJ1 that's where faith come in...
Wengi waliopo kwenye mahusiano na watu wasiowaamini (cheaters) na bado wanawapenda wanaishi kwa imani kwamba ''hata akicheat bado ananipenda...ipo siku ataacha...huko nje ni shetani tu hua anampitia..hafanyi kwa makusudi...muhimu ni kwamba ananihesimu etc'' ukishatoa mawazo kama haya kichwani kwa mtu anaedanganywa kila siku kuna nafasi kubwa sana ya mapenzi yake kwa huyo cheater kukoma.
 
Can we love where we don't trust?

weeeee, usijaribu bana...khaaa, utakuja umetuvalia suruali kichwani hapa!


MJ1 that's where faith come in...
Wengi waliopo kwenye mahusiano na watu wasiowaamini (cheaters) na bado wanawapenda wanaishi kwa imani kwamba ''hata akicheat bado ananipenda...ipo siku ataacha...huko nje ni shetani tu hua anampitia..hafanyi kwa makusudi...muhimu ni kwamba ananihesimu etc'' ukishatoa mawazo kama haya kichwani kwa mtu anaedanganywa kila siku kuna nafasi kubwa sana ya mapenzi yake kwa huyo cheater kukoma.

...
images
...hii inawezekana tu iwapo unajikubalisha kuwa "an option" maishani mwa mwenzako!
 
MJ1 that's where faith come in...
Wengi waliopo kwenye mahusiano na watu wasiowaamini (cheaters) na bado wanawapenda wanaishi kwa imani kwamba ''hata akicheat bado ananipenda...ipo siku ataacha...huko nje ni shetani tu hua anampitia..hafanyi kwa makusudi...muhimu ni kwamba ananihesimu etc'' ukishatoa mawazo kama haya kichwani kwa mtu anaedanganywa kila siku kuna nafasi kubwa sana ya mapenzi yake kwa huyo cheater kukoma.

Lizzy aksante kwa kunielewesha mamito. Perfect explanation.
 
sasa mtu aniamini wa nini kama hanipendi?
akamuamini yesu kule
mimi nataka love tu
nini cha kuamini kwanza ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom