BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
khaaa, viinglish! Ntarudi
Mkuu hata kwenye wedding vows "Promise" huwa ipo
hahh!!!...together again...
LOVE IS NOTHING BUT "A PROMISE"...please agree to disagree bana!
I agree....Mbu hata kwenye wedding vows "Promise of Love" huwa ipo.....usually people say "I promise to love you til death do us apart"
hahh!!!...together again...
LOVE IS NOTHING BUT "A PROMISE"...please agree to disagree bana!
I am doing very well bro, thanks for your clarification Mkuu...lakini kwanza si tunaanza kufall in love na kumtamkia mtu yale maneno matatu matamu ambayo binadamu wengi hupenda kuyasikia "I love you" halafu baadaye ndio tunaanza kuangalia kama huyo mtu ni "a trustworthy person" katika mapenzi na hatimaye kusonga mbele na labda kumtambulisha kwa marafiki, ndugu, jamaa na hatimaye Wazazi, au huwa tunaanza kwanza kuangalia kama he/she is "a trustworthy person" kabla ya kuamua kuanza kupiga maspeed ili hatimaye awe mpenzi!?
Mbu mambo! Mie ukitaka nikupende, nifanye nikuamini. Yani sababisha moyo wangu uamini kile unachokisema na kutenda ndicho hicho kitokacho moyoni mwako kweli.
Niaminishe kuwa wewe ni "wewe"...................Ukiniambia A niaminishe kweli unamaanisha A.........................uwiiiii hata sijui niongee ongee je?
Anyway muda wa Cafe umeisha naona Timewatcher inaniambia One minute remains....Ila TRUST itafanya upendo ulioanza ukue na kustawi, na kukomaa hadi Kufa. "TRUST"
you are one in a million...! thanks LD kwa somo lililotulia!
..."i trust you!" is better than "i love you!" bcos,
you may not always trust the person you love but,
you can always love the person you trust.
...there we go kaka, promises...promises and promises......
talking about saying all those words a person wishes to hear means one's definately lying,
true or false?..why (for some people) it is a must to lie when initiating love?
does that makes a trustworthy person?
Agreed Mkuu that....(for some people) it is a must to lie....but to others it is the truth (100% truth) about how they feel about that person (he/she)....Trust takes a long time to build, and only a few moments to be destroyed.
Mbu,nilicho maanisha ni kuwa hayo yote yanakwenda pamoja,huwezi kupenda halaefu ukawa haumwamini,hicho kitakua ni kitu kingine kabisa sio upendo,hata kwenye mahusiano kama humwamini ni bora mkaachana la sivyo mahusiano yenu yatakua na matatizo kibao kama mwili usiokua na miguu.Pia unaemwamini ni lazima upendo uwepo.Unapomwamini upendo nao unakuwepo,hivyo basi vyote vinakwenda pamoja!!
...can you truly & madly love the person you dont trust?
How about loving someone who is not faithful to you? Is it possible?