Hawa Vox Media nao wanatumia masaburi kufikiri, suala hili sasa hivi linachunguzwa na TAKUKURU na kamati ya bunge, kuendelea kulijadili hadharani ni kuingilia uchunguzi. Nadhani woote walioandaa huu mdahalo hawana hata chembe ya uelewa wa sheria ya kupambana na kuzuia rushwa.