Mdahalo wa kitaifa Dodoma

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
700
851
Mwenyekiti wa UVCCM (T) Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) atashiriki katika Mdahalo wa KITAIFA kuhusu Miaka 3 ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusiana na UTEKELEZAJI wa Ajenda za vijana utakaofanyika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention.

TAREHE: 25/5/2024

20240523_174324.jpg
 
Back
Top Bottom