<font color="#800000"><font size="3"><span style="font-family: comic sans ms">Kesho tarehe 27/08/2011, Ramadhan 27, Star Tv itarusha moja kwa moja kutoka MovenPick Hotel mdahalo kuhusu " ITIKADI ZA VYAMA VYA SIASA NA TANZANIA TUNAYOITAKA"<br />
Mdahalo huo utahusisha wazungumzaji wakuu wafuatao <br />
1.Bwana Mabere Marando, mwanasheria Kitaaluma na mwanachama wa CHADEMA.<br />
2.Nape Nnauye wa ccm<br />
3. Jussa Ladwa<
MUDA WA KAWAIDA NDO SAA NGAPI MKUU?
<br />Dickson,Safi sana kwa mdahalo uo nape kajpange make kwa sasa cdm mnanuka
Kesho tarehe 27/08/2011, Ramadhan 27, Star Tv itarusha moja kwa moja kutoka MovenPick Hotel mdahalo kuhusu " ITIKADI ZA VYAMA VYA SIASA NA TANZANIA TUNAYOITAKA"
Mdahalo huo utahusisha wazungumzaji wakuu wafuatao
1.Bwana Mabere Marando, mwanasheria Kitaaluma na mwanachama wa CHADEMA.
2.Nape Nnauye wa ccm
3. Jussa Ladwa
wote mnaombwa kutune Tv zane ili kupata fursa ya kujifunza na kupanua wigo wa Mjadala juu ya ujenzi wa Jamii ya Kisasa hapa Tanzania yenye kuogopa na kukataa Ubakaji na Ulawiti wa raslimali zetu kwa Jina la siasa.
<br />Kama alivyosema mleta mada itakua MovenPick : muda ni kuanzia saa7:20 usiku hadi 9:20 usiku wakuu,kama unataka ushiriki kuna number wanatangaza mara kwa mara kwa yeyote atakaetaka kushiriki ila number ya sim sikuimeza wakuu na mara nyingi hili tangazo wanalitoa Star tv.