Ninasumbuliwa na mda,kwa nini wasifanye kama inavyokuwa nkrumah walau watu hupata mda wa kutosha saa4-8 kuliko haka ka1.30hrs,huu ni upuuzi,imagine mwongozaji mwenyewe huyo,utangulizi 15min,kufunga15min,sasa60min zitatosha maswali gani na mangapi na kwa ufafanuzi gani?ama ndo funika kombe?
hata kwenye mtihani unaweza ukafeli si kwa vile ww ni kiraza bali mda ni mfinyu sana,kama wanataka walau waweke 120min vinginevyo it's kidding us!
hapa ishu sio mdahalo namaanisha mda ndo ishu ya msingi,let us be serious tunapodebate hot issues tuweke mda wa kutosha kwa maana hatufanyi maigizo hapa,hii sio bongo movie we need appropriate time,iweje kipindi cha kipimajoto ITV chenye wageni4 kipewe 2hrs alafu hii ishu ina watu 200+ ipewe 1:30?