Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Very shallow!
Kwa taarifa yako wengi wetu hapa tunapigania ukombozi wa kweli... Ukinichukua leo nikapige kura kuna wagombea wawili ambao ni Dr. John P Magufuli (CCM) na mwingine yeyote isipokuwa Dr Slaa wa Chadema nitampigia Dr Magufuli kwa sababu ninaheshimu mchango wake na wala si chama anachotoka
Hee huyu katokea wapi soma tena na tena utajua nilikuwa na maana gani.Usipende kukimbilia key board soma kwanza halafu jibu wacha ujinga.