Mdahalo: Kids Vs Spouses


That was MMU and JF at their best......


Labda tukubali msimamo wa The Boss kuwa tusilie sana.... we had a great party then!

Sasa hivi hata mzee mwenzangu Asprin anasomeka kwa shida....

Ila naamini ni mapito tu,.....tutavuka salama na kuwavusha wajukuu!!
 

Mzee mwenzangu sijui nini kifanyike tuwarejeshe wale jamaa zetu.

Niliona kampeni yako kipindi flani. Wakarejea kwa muda then wakasepa tena.

Tuyaombee haya mapito yapite kwa kasi
 
Mzee mwenzangu sijui nini kifanyike tuwarejeshe wale jamaa zetu.

Niliona kampeni yako kipindi flani. Wakarejea kwa muda then wakasepa tena.

Tuyaombee haya mapito yapite kwa kasi

Kweli mzee mwenzangu, labda baada ya 2015 tutapata ufunuo mpya....
 
let me give you 100 marks



 
haaaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaa babu jamani hapo kwenye red umenizodoa mwenzio ila umenichekeshaje,babu uko juuuuu,miss you mingi my babuto.
I love you too.

Afu unikome... aliyesema siku hizi siongei mapwenti kama madini ni nani?
 
yes babu naziona enzi zile when jf was really something lakini sa hizi ni shida dumuzi wameingia kwa kasi humu ndani,ila kama tu ulivyosema babu Dark City labda tu ni mapito ambayo yatapita na kutoweka na jf kuwa kama ya enzi zenu and i really hope so babu i miss the old JF nahisi mlikuwa mnaenjoy more than sana.
 
Last edited by a moderator:
haaaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaa babu jamani hapo kwenye red umenizodoa mwenzio ila umenichekeshaje,babu uko juuuuu,miss you mingi my babuto.
Miss you too grandito.... Yani mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi kama ya Mugabe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…