Mdada zingatia hapa jitahidi usome mpaka mwisho

Mdada zingatia hapa jitahidi usome mpaka mwisho

check inbox yako amu na Smile ni tofauti brooo
Hahaaaa wee amu wee hebu njoo basi inbobo uninong'oneze ulikoitoa, maanake daah umenikumbusha mbali japo sijachukia, au the former Smile by the way? Can't wait to hear from u, teh!!
 
Kawaambie hao wataalamu wa mahusiano " warudie tafit .. Hao wanawake walikua zama za mawe za kati ... Hizi ni zama za chuma ...
Watu wa zamani waliweza kuvumilia hata kama wakiteswa,wakichitiwa n.k kwa sababu ya watoto na pia hawakuwa na vyanzo wala ardhi ya kujikimu.
Pia mfumo dume uliwalemea sana wanawake.Ilikuwa ni aibu kuachika.
 
Watu wa zamani waliweza kuvumilia hata kama wakiteswa,wakichitiwa n.k kwa sababu ya watoto na pia hawakuwa na vyanzo wala ardhi ya kujikimu.
Pia mfumo dume uliwalemea sana wanawake.Ilikuwa ni aibu kuachika.
hata sasa hivi ni aibu kuachika dia sema basi tu
 
hapana mito ulimtumia amu pia nimeitoa inbox ndo maana nikakusalimia nakumbuka uliniambia hutaki mtu ajue wewe umeandika hii article hasa mafisi walioko mawindoni humu...
Duuh haya bwana, mwenzio nilishapotez network, yaan kweli internet never forget!!

BTW hao wasioamini acha tu waendeze mioyo yao inapenda nini, vijana waendelee kujilia taratibuu, akikumbuka shuka kumekuchaaa
 
mimi pia mwanamke baba swalehe amini nakuambia wanawake wazuri wa kuoa wa zama za mawe za kati wapo na wanaume wa kutuoa pia wapo...ni kutuliza akili tu
I once loved ... But now i just see empty orbitals in many woman too much chumv... Too much alcohol ... Acting life like a jamulilah comedians ... I just look at them and say muhlah it will reach 30 ... And still you will be existing as a lone pair ...
 
Duuh haya bwana, mwenzio nilishapotez network, yaan kweli internet never forget!!

BTW hao wasioamini acha tu waendeze mioyo yao inapenda nini, vijana waendelee kujilia taratibuu, akikumbuka shuka kumekuchaaa
nimerekebisha nimekuacknowledge,check inbox pia
 
Watu wa zamani waliweza kuvumilia hata kama wakiteswa,wakichitiwa n.k kwa sababu ya watoto na pia hawakuwa na vyanzo wala ardhi ya kujikimu.
Pia mfumo dume uliwalemea sana wanawake.Ilikuwa ni aibu kuachika.
Tunataman tuwabebe wanawake lakin hata ukiwabeba wanakunyea .. Ni wachache sana wastaarabu
 
Tuko pamoja amore ujue jamii ya kitanzania mkiachana inaonekana aibu kubwa kwa mwanamke,yaani maisha yetu yote tunaandaliwa kwa ajili ya kuhudumia wanaume na familia imagine hata tendo lenyewe ukiwasikiliza wengi wazee wanasema umridhishe mwanaume na si kuridhishana
Ni aibu kwa wote kuachana.
Na Mungu anachukia kuachana.
Si aibu ya mwanamke pekee.Inapaswa itazamwe hivi.
 
I once loved ... But now i just see empty orbitals in many woman too much chumv... Too much alcohol ... Acting life like a jamulilah comedians ... I just look at them and say muhlah it will reach 30 ... And still you will be existing as a lone pair ...
pole baba swaleh utapata tu mtu,time is the best healer naamini utapata right partner
 
Sidhani kama upo sahihi.
Mwanamke ni kiumbe mvumilivu sana sana.
Sema akichoka anakunyea sana.
Jamii ya Kiafrica nafasi ya mwanamke katika jamii inakaribiana na mifugo ya familia.
Wapo ulaya unaowasemea mkuu sio wote lakin


... Wanawake wa jf wastaatabu sana
 
It's a nice article, congrats mito for a well addressed article. Sema mahusiano ya nyakati hizi yamekuwa "jiwe", ni magumu kuyaelewa na kuyaishi.
 
Tuko pamoja amore ujue jamii ya kitanzania mkiachana inaonekana aibu kubwa kwa mwanamke,yaani maisha yetu yote tunaandaliwa kwa ajili ya kuhudumia wanaume na familia imagine hata tendo lenyewe ukiwasikiliza wengi wazee wanasema umridhishe mwanaume na si kuridhishana
Ni kweli kabisa.
Wataenjoy wanawake watakaozaliwa miaka 500 hivi ijayo.
Wanawake wanakuwa treated kama lesser human beings in Africa.
Kama wajakazi.
Ndiyo maana wakiachika wanaonekana rejects.Kuna makabila yanadharau hata waliofiwa na waume zao
 
Ni kweli kabisa.
Wataenjoy wanawake watakaozaliwa miaka 500 hivi ijayo.
Wanawake wanakuwa treated kama lesser human beings in Africa.
Kama wajakazi.
Ndiyo maana wakiachika wanaonekana rejects.Kuna makabila yanadharau hata waliofiwa na waume zao
kweli kabisa kuna makabila hawaoi mjane au kuna familia wakisikia ndugu yao anamahusiano na mjane chokochoko zinaanza.
Mungu atuongoze tu wanawake maj
Ni kweli kabisa.
Wataenjoy wanawake watakaozaliwa miaka 500 hivi ijayo.
Wanawake wanakuwa treated kama lesser human beings in Africa.
Kama wajakazi.
Ndiyo maana wakiachika wanaonekana rejects.Kuna makabila yanadharau hata waliofiwa na waume zao
Makabila mengine hawaruhusu kabisa kijana kuoa mjane au ikitokea kijana kaanzisha mahusiano na mjane familia inaleta chokochoko,Mungu atuongoze wanawake majaribu yetu ni makali sana.
 
Back
Top Bottom