Mdada wa NMB ananipa wakati mgumu

Mdada wa NMB ananipa wakati mgumu

wakyagara wakinyora

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
735
Reaction score
286
wanajamvi amani kwenu,

Kuna huyu mdada anafanya kazi NMB (kaumbika,yuko sexy ile mbaya,msomi flani hivi afu matawi kiaina pia ni mpole sana)tumepanga nae nyumba moja hapa mjini.

Kwa jinsi nyumba yenyewe ilivyo(imejengwa muundo wa "U" dirisha la sitting room kwangu (sebuleni) linapakana na chumbani kwake.

Yaani kila mmoja wetu anaweza kuchungulia chumba cha mwenzake kama akifungua pazia.Kinachonipa wakati mgumu ni kelele anazopiga wakati akifanya mapenzi na boyfriend wake,kelele za mahaba ambazo unaweza kuzisikia hata ukiwa umbali wa mita 50 kama kukiwa hamna kelele zinazoingiliana na hizo.

Yaani wakishaingia tu ndani na huyo mtu wake tena mapema tu saa 12 za jioni au saa moja mambo yanaanza,eneo zima linakuwa ni kelele zake.

Pia huwa anaachadirisha wazi wakati anafanya shughuli zake hizo.Yaani huyu mtoto wa kichaga mara aseme hivi,mara vile.kwa ufupi ni kelele za mahaba mwanzo mwisho.

Siku za jumapili saa 4 asubuhi tu,yaani eneo zima halitamaniki.Napata wakati mgumu sana ninapokuwa na wageni home kwangu.Wakati mwingine wanaweka mikanda ya ngono tena kwa sauti ya juu kabisa.

Yaani ni kero tupu,nilisha lalamika kwa mama mwenye nyumba ili aongee nae kistaarabu tu,yaani awe hata anawasha redio kwa sauti ya juu lakini wapi.Mama mwenye nyumba nae anadai huwa anazisikia.

Hata kama ni raha au utamu basi wa huyu dada umepitiliza.

HOFU YANGU NI SIKU NITAKAPOTEMBELEWA NA WAZAZI WANGU AU BABA NA MAMA MKWE SIJUI ITAKUWAJE.PIA NAPOKUWA NA WAGENI MANAKE ILE MIDA YA CHAKULA CHA JIONI WAO NDIO MAMBO YANAANZA.

NIFANYEJE MAANA NAONA HATA AAMBIWE HAJIREKEBISHI?
 
Duuuh!!km vp hama tu hapo mkuu!

unachokisema ni sahihi kabisa mkuu,tunajadiliana na waifu jinsi ya kufanya manake yeye yuko mmoja afu sisi wenye familia tayari ndio tumpishe..inatupa wakati mgumu sana but bado tunafikiria the best way
 
Kazi ndogo sana, mrekodi hizo kelele zake hafu siku nyingine zipige kwenye redio huku akiwa anasikia, weka sauti ya mwisho kabisa mpaka mama mwenye nyumba asikie.

Angalizo: Hii usimuhusishe mkeo, fanya kimya kimya.
 
Hama si umepanga ingekuwa Nyumba yako
tungejadili mengine saa hizi!!!!!!!!!!!

Wewew usihame mfanyie vituko akosane na mpenzi wake ili ahame yeye, njia ya kumfanyia ni kwamba ukiona wameanza kuti........ana, tafuta msela mmoja aje amgongee dirisha halafu amwambie nifungulie mpenzi wangu nimewahi kama tulivyopanga, kwani unanipaga burudani sana ndo maana nakupenda mno. halafu ana sepa, watajiju wenyewe, na siku nyingine hivyo hivyo mpaka ajirekebishe
 
Kazi ndogo sana, mrekodi hizo kelele zake hafu siku nyingine zipige kwenye redio huku akiwa anasikia, weka sauti ya mwisho kabisa mpaka mama mwenye nyumba asikie.

Angalizo: Hii usimuhusishe mkeo, fanya kimya kimya.


dah mkuu kanigini,ulishawahi kucheza mgambo nini?n'way,sometimes nafikiria(japokuwa sina uhakika na hilo)pengine kujua watu wanamsikia ndio starehe yake....but m not sure
 
Wewew usihame mfanyie vituko akosane na mpenzi wake ili ahame yeye, njia ya kumfanyia ni kwamba ukiona wameanza kuti........ana, tafuta msela mmoja aje amgongee dirisha halafu amwambie nifungulie mpenzi wangu nimewahi kama tulivyopanga, kwani unanipaga burudani sana ndo maana nakupenda mno. halafu ana sepa, watajiju wenyewe, na siku nyingine hivyo hivyo mpaka ajirekebishe

ya nini kujipa tabu zote hizo..........,

kutafuta wasela,kumgonge ya nini yote hayo
 
Wewew usihame mfanyie vituko akosane na mpenzi wake ili ahame yeye, njia ya kumfanyia ni kwamba ukiona wameanza kuti........ana, tafuta msela mmoja aje amgongee dirisha halafu amwambie nifungulie mpenzi wangu nimewahi kama tulivyopanga, kwani unanipaga burudani sana ndo maana nakupenda mno. halafu ana sepa, watajiju wenyewe, na siku nyingine hivyo hivyo mpaka ajirekebishe


aisee kweli we unaweza kufanyia mtu fitna mpaka akajuta
 
Toka mpera mpera katafute chimbo jipyaaa kwani kuna siku atajisahu na kukutaja hata wewe hata kama ni kwa bahati mbaya tu coz ni majirani wa karibu sana na hao wageni wako wakiwepo ndo itakuwa majanga zaid ya jana.
 
Toka mpera mpera katafute chimbo jipyaaa kwani kuna siku atajisahu na kukutaja hata wewe hata kama ni kwa bahati mbaya tu coz ni majirani wa karibu sana na hao wageni wako wakiwepo ndo itakuwa majanga zaid ya jana.

mkuu mbona unaanza kuniogopesha?
 
dah mkuu kanigini,ulishawahi kucheza mgambo nini?n'way,sometimes nafikiria(japokuwa sina uhakika na hilo)pengine kujua watu wanamsikia ndio starehe yake....but m not sure

Kurekodiwa ni aibu hata kama anapenda watu wazisikie hizo kelele, kwa kuzingatia pia kwamba anaacha dirisha wazi kama ulivyosema tafuta kamera yenye flash kali na mtaalamu wa kupiga picha, wakiwa katikati ya mahaba picha inapigwa shaa!

Hapo ni mwisho wa maneno. Asipohama ndani ya mwezi unakuwa unadondosha picha moja moja mlangoni kwake.
 
Kurekodiwa ni aibu hata kama anapenda watu wazisikie hizo kelele, kwa kuzingatia pia kwamba anaacha dirisha wazi kama ulivyosema tafuta kamera yenye flash kali na mtaalamu wa kupiga picha, wakiwa katikati ya mahaba picha inapigwa shaa!

Hapo ni mwisho wa maneno. Asipohama ndani ya mwezi unakuwa unadondosha picha moja moja mlangoni kwake.


mkuu sitashitakiwa kwa kuvamia privacy ya mtu na hizo picha kuwa kama ushahidi?
 
ahaahha,we unafikiri solution haioni mbona angeshahama siku nyingi. Huyu bila shaka anaenjoy maana inaonekana hajaoa..!!!!
 
mkuu sitashitakiwa kwa kuvamia privacy ya mtu na hizo picha kuwa kama ushahidi?

Tafuta mtu wa kupiga hizo picha, tena mwenye mbio maana anaweza kukimbizwa. Baada ya hapo mambo kimya kimya tu. Unahakikisha picha unakuwa nazo soft copy, unaprint moja moja za kudondosha na haubaki na hardcopy yoyote.

Hapo hakuna ushahidi.
 
Duniani kuna vituko jamani ila Dunia ya JF is too much, sasa kelele za chura zinakuzuiaje kunywa maji Mpwa? Ningekuwa mimi nimeshamweleza, jenga urafiki naye hata kama ni wa kinafiki potelea mbali, weka na kajiutani kidogo kisha mkishazoena vizuri kidogo, mchombeze juu ya hilo kimtindo, hio ndio busara tu. Mwambia tu kwa njia ya utani; kwa mfano; naona jamaa anashughulika ipasavyo eeeh, ila dah huku hua inakua shida kweli....na maneno kama hayo. Kama ni mwelewa basi ataelewa tu. ikishindikana kabisa, mtokeee tu na wewe muombe.....hata hivyo kuna tuhuma kuwa wachaga (watani zangu) wako sifuri kabisa kwenye hio fani. sasa labda na yeye ndio hao hao
 
Kwanza kabisa upo mkoa gani? Kama Dar mbona ishu ni ndogo sana..

Chezea watoto wa kiswahili nini!

Ngoja nimwite lara 1 akupe solution..

Ila kama upo mbwinde ni ngumu kumeza maana NMB kwa Branch za porini hawana mpinzani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom