Mdada wa benki wa ukweli sana

Mdada wa benki wa ukweli sana

F
Na unapozitoa hizo hela hakikisha kuwa unaongeza noti ka 4 hivi kwenye kila fungu halafu ujifanye ka hujui kuzihesabu. Baadaye mwombe namba yake ili hata ukimtuma mtu kukuwekea umtume kwake straight. Hakika utapate hiyo namba yake tu
fresh mkuu .....aisee mtoto wa ukweli....sana amejazia...nahic alikua dar
 
Mtongoze kikawaida tu mjomba. Hao wanaosem Eti hela hela hela! Midomo yao imejaa zege. Unaweza kumuona demu mkali kumbe masikini yuko simple..saa kila mtu anaogopa kumtongoza kwa ukali wake, wewe ukiingia na lugha laini ya kawaida unakula mzigo. Mwanamke wa maana na anayejielewa ukianza kumtanguliza pesa anaweza kukudharau sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbinu mkuu....au niombe number yake ....tatzo pale mwenzake atasikia
Wee nenda hapo kaweke hela alafu toa noti moja mpe mwambie kunywa soda fanya mpango umchekee chekee omba namba kabla ya kuomba namba msifie jifanye kumwambia umependa huduma yake ila chonde chonde wakati unampa hela yako usiangalie pembeni dadake baadhi huwa ni wezi kishenzi mimi kuna mmoja alinifanyia zengwe nikamkomalia hadi kaomba msamaha
 
Back
Top Bottom