Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,482
- 65,796
Hapo sawa ila wengi wao wanafanyiwa ukatlHakuna cha kulazishwa ukute na yeye alitega je?
Hahahaha,anatoa puttyKuna dada huku mtaani nadhani anazingatia sana usafi na karibu yote hayo uliyoyaandika anayazingatia, ila sasa akienda kuoga then na ww ukifuata lazima bafuni ukutane na udongo chini kumbe ni idadi ya mafuta na manukato anayopaka hvy akioga yote yanaanguka chini.
Ila mkuu una sound ki mtoto wa mama sana ( utani tu)π€£π€£π€£π€£Hapo sawa ila wengi wao wanafanyiwa ukatl
Ahaha hapan mkuu kwetu alikuwepog dada wakazi ila alikuwa ananiogopa sana na mama nu mtu wakusafir yaani siku tatu hajarudi tunabaki wawil ila nilikuwa bise na mambo yanguIla mkuu una sound ki mtoto wa mama sana ( utani tu)π€£π€£π€£π€£
UMefundisha vzr, sema kuna watu wataombwa hela ya matumizi.Kwanini yavunjike tenaa...si ndo nmefundisha kuoga
Yan unakuta michiziri ya udongo π₯ ila sio mbaya ananukia vzr muda woteHuyo ni kama gari, aanze kulipia kwenda car wash kuoga..
Huyo mpka leo atakua anakusimulia negative tu π€£π€£Ahaha hapan mkuu kwetu alikuwepog dada wakazi ila alikuwa ananiogopa sana na mama nu mtu wakusafir yaani siku tatu hajarudi tunabaki wawil ila nilikuwa bise na mambo yangu
Msafishe nje tu ndani mpaache palivyo labda kama ndio umetoka kwenye mechiHuko kwa bibi nyoa, safisha mashavu ya bibi nje na ndani
Kwwni inachukua dakika ngapi mkuu iama anajipenda atakuwa na ziada tuHapo inategemea na mazingira anayoshinda lakini kama anashinda mgahawani kwenye heka heka hiyo chupi atabadili saa ngapi si hadi akifunga akirudi nyumbani
Ww utakuwa na nia mbaya kwangu, sikuuzii tena dawa ya kusafisha vidaka ushuzi ππ€£π€£π€£Mbavu zanguπ
Kwamba Vifuniko vya asali dili πMm naziuza nataka nikupe bure π
Lazima π ila binamu nimekula kipindi nipo nakua usiku nilikuwa naogopa kulala mwenyewe kutokana na ndoto mbaya usiku so tulikuwa tunakaa na binamu so usiku tulikuwa tunalala wote na yey ndio alianzisha uchokoz tukaendelea kuna mda tulikuwa tunafanya mchana kabisaHuyo mpka leo atakua anakusimulia negative tu π€£π€£
Hawasugui ulimi, unakuta ulimi mweupe kama kamwagia maziwaKwa binadamu yeyote, kama husafishi ulimi, changes are unanuka mdomo. Shida ni hutojua, na watu wanaweza wasikwambie. Your tongue should be pinkish, ule weupe katikati ni uchafu. You don't need fancy stuff, hata mswaki tu unafanya kazi hiyo vizuri kabisa.
Duh, itakuwa vumbi labda..Yan unakuta michiziri ya udongo π₯ ila sio mbaya ananukia vzr muda wote
Duh bc hao ni lazima watakuwa ni wale unakuta wana ndevu pia, kama ni hvy bc wafanye mpango wapate dawa ya vidaka ushuzi πWapo wenye navyo vinanuka hivyo jamani
Wachafu tu mikojo iyo mpaka inachora ramani kufua hawajuiYan unakuta michiziri ya udongo π₯ ila sio mbaya ananukia vzr muda wote
HapanaDuh, itakuwa vumbi labda..