Asante Bro, nimeona PM yako ila nashindwa kukujibu nama sipati option ya kureply, afu nilikuwa na namba yako ila nachek sasa hv naona sina, em naomba unitumie namba ako PM.
Mi mwenyewe nilijua hawana kumbe nao ni wale wale wanajitahidigi kuvinyoa Kwa bidii afu wanatudanganya hawana kumbe wanavyo, mwenzao Leo kaweka mambo hadharani
Tatizo Kuna madem wanaojifanyaga hawana kumbe wananyoa Kila siku, wee ndo umetusanua humu Yani umeamua umwage mboga na ugali, umevunja Siri ya kambi umejua kuwaanika wanawake wenzako hadharani, Sasa nishajua ukweli.